Og epysam
Member
- Jul 14, 2019
- 42
- 20
Naomba kujuzwa kwa anaesomea diploma maalumu ya ualimu wa physics and biôlogy je vitabu vya aina gani napaswa kua navyo vitakavyo weza nisaidia katika masomo tajwa chuoni pia ningependa kujuzwa idadi ya masomo ya ziada ntakayosomea chuoni
Mwenye ufaham kwa hili naomba ufafanuzi.
Mwenye ufaham kwa hili naomba ufafanuzi.