Mwenye uhitaji wa kozi yoyote udemy

KENGE 01

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
1,589
3,818
Habari wana JF

Katika karne hii ya sasa bila elimu ya Technolojia flani itakuwa ngumu sana kufanikiwa kwani dunia yasasa ni ya kidigitali zaidi kwaio hutakiwi kupitwa na elimu ya technolojia kama vile kutengeneza Website,Application n.k n.k

Narudia tena kuandika na Lengo la Uzi huu ni kukupa course yoyote ya Udemy uitakayo kwa gharama sawa na bure..kwakuwa Udemy.com course zao zinauzwa ghali watu wengi wameshindwa kujifunza mambo mbalimbali kwa ufasaha

"mwenye ujuzi halali njaa" ndivyo wahenga wasemavyo basi namm nakuhakikishia ukiwa na ujuzi uwezi lala njaa karibu jipatie kozi yoyote kwa kuwa INTERNET imekua ni zaidi ya Chuo

Kozi zilizopo ni kama vile kujifunza mapishi,kujifunza kingereza,kutengeneza website,Mobile Apps, Computer software,,Cyber security (CISCO),Ethical hacking,Networking,,Logo & Graphic design,Kutengeneza Animation,,Adobe photoshop & illustrator basic for begginer to Advance kwakweli kozi ni nyingi sana sana sana Chaguo ni lako tu

Jinsi ya kupata kozi izo hatua ya kwanza unaji register kwenye Website ya Udemy au download App yao baada ya apo utarequest kwa mtoa mada kozi unayotaka na atakutumia link ambayo ina expire ndani ya masaa 48 utabonyeza ENROLL kisha utakuwa umenunua kozi FOR FREE kabisa mfano wa picha apa chini

Mods tafadhali mfute uzi na sababu sio mnafuta kila UZI jaribuni kutembelea forum kama Quora au ata NairaLand muone watu wanavyopeana madili na connection hasa Nairaland wanaija wako smart sana,Sasa uku uzi hauna shida hakuna mtu alietapeliwa ila mnaufuta mtoe basi sababu mnakera sana

Enewei mwenye uhitaji tupatane tsap kwa link/namba hii


Nawasilisha mwenye swali,pia wale wakosoaji wajuaji mwenye povu KARIBUNI
View attachment 1827131View attachment 1827133View attachment 1827132

400149000952_98309.jpg
 
Is your college registered,do you provide certificates after completion of studies?
 
Kulikuaga na uzi humu umeandikwa "Jinsi ya kupata kozi za udemy bure" kama cjakosea. Vp ule uzi n wako pia? Japo cku hz siuoni
 
Wewe kama mtaalamu Kozi gani unanishauri nichukue?kati ya
Music theory
Cloud computing
Cyber security
Database management
Android application development
Web design and development
Android application development
Graphics design
 
Wewe kama mtaalamu Kozi gani unanishauri nichukue?kati ya
Music theory
Cloud computing
Cyber security
Database management
Android application development
Web design and development
Android application development
Graphics design
Kama unalengo la kupiga pesa basi chukua website,Android App development na Graphic design lkn kama ukishajua kutengeneza website ata mbeleni ukisoma cyber security itakua sio ngumu sana na apo unaweza kutengeneza pesa zaidi
 
Habari wana JF

Katika karne hii ya sasa bila elimu ya Technolojia flani itakuwa ngumu sana kufanikiwa kwani dunia yasasa ni ya kidigitali zaidi kwaio hutakiwi kupitwa na elimu ya technolojia kama vile kutengeneza Website,Application n.k n.k

Narudia tena kuandika na Lengo la Uzi huu ni kukupa course yoyote ya Udemy uitakayo kwa gharama sawa na bure..kwakuwa Udemy.com course zao zinauzwa ghali watu wengi wameshindwa kujifunza mambo mbalimbali kwa ufasaha

"mwenye ujuzi halali njaa" ndivyo wahenga wasemavyo basi namm nakuhakikishia ukiwa na ujuzi uwezi lala njaa karibu jipatie kozi yoyote kwa kuwa INTERNET imekua ni zaidi ya Chuo

Kozi zilizopo ni kama vile kujifunza mapishi,kujifunza kingereza,kutengeneza website,Mobile Apps, Computer software,,Cyber security (CISCO),Ethical hacking,Networking,,Logo & Graphic design,Kutengeneza Animation,,Adobe photoshop & illustrator basic for begginer to Advance kwakweli kozi ni nyingi sana sana sana Chaguo ni lako tu

Jinsi ya kupata kozi izo hatua ya kwanza unaji register kwenye Website ya Udemy au download App yao baada ya apo utarequest kwa mtoa mada kozi unayotaka na atakutumia link ambayo ina expire ndani ya masaa 48 utabonyeza ENROLL kisha utakuwa umenunua kozi FOR FREE kabisa mfano wa picha apa chini

Mods tafadhali mfute uzi na sababu sio mnafuta kila UZI jaribuni kutembelea forum kama Quora au ata NairaLand muone watu wanavyopeana madili na connection hasa Nairaland wanaija wako smart sana,Sasa uku uzi hauna shida hakuna mtu alietapeliwa ila mnaufuta mtoe basi sababu mnakera sana

Enewei mwenye uhitaji tupatane tsap kwa link/namba hii


Nawasilisha mwenye swali,pia wale wakosoaji wajuaji mwenye povu KARIBUNI
View attachment 1827131View attachment 1827133View attachment 1827132

View attachment 1827129
Aya ndiyo mambo
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom