Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 236
- 175
Heshima kwenu wakuu,
Nina mdogo wangu amechaguliwa kusomea ualimu wa masomo ya ufundi chuo cha Kleruu Iringa, naomba kama kuna Mtu anakijua chuo hiki au alishawahi kupita pale au ana uzoefu na 'Ualimu wa masomo ya ufundi' anifungue niweze kufahamu ikiwa ni pamoja na kujua kozi gani zinatolewa na ipi iko na soko, Pia kufahamu maisha ya pale chuoni, changamoto, Tahadhari za kuchukua akiwa mwanachuo pale, n.k
Pia kwa Kuwa nchi sasa inaelekea kwenye uchumi wa viwanda naomba ushauri wa kozi gani asome.
Ndimi Kijana wenu.
Nina mdogo wangu amechaguliwa kusomea ualimu wa masomo ya ufundi chuo cha Kleruu Iringa, naomba kama kuna Mtu anakijua chuo hiki au alishawahi kupita pale au ana uzoefu na 'Ualimu wa masomo ya ufundi' anifungue niweze kufahamu ikiwa ni pamoja na kujua kozi gani zinatolewa na ipi iko na soko, Pia kufahamu maisha ya pale chuoni, changamoto, Tahadhari za kuchukua akiwa mwanachuo pale, n.k
Pia kwa Kuwa nchi sasa inaelekea kwenye uchumi wa viwanda naomba ushauri wa kozi gani asome.
Ndimi Kijana wenu.