nkiniangelikal
Member
- Feb 28, 2020
- 12
- 4
Mimi ni dereva wa malori kwa maana ya truck nimemsikia bonge wa clouds Fm asubuhi japo sikuweza kusikia yote.
Nilishika machache kuwa LATRA wanataka madereva wote wa malori na mabasi Wakachukue vyeti Vitakavyo watambulisha katika nchi watakazokuwa wanaenda Kama sikukosea.
Tafadhali wadau kama kuna yeyete aliesikia au mwenye kufahamu juu ya hilo atujize.
Nilishika machache kuwa LATRA wanataka madereva wote wa malori na mabasi Wakachukue vyeti Vitakavyo watambulisha katika nchi watakazokuwa wanaenda Kama sikukosea.
Tafadhali wadau kama kuna yeyete aliesikia au mwenye kufahamu juu ya hilo atujize.