Wakuu naomba kufahamishwa kama kweli uhamisho kwa waalimu umefunguliwa maana kuna mtu anasema eti toka hii June mosi 2019 wameruhusu mauhamisho ni ya kweli haya?
Kuna barua nilikuta mahala kwenye mbao za matangazo kama nitaweza kuiambatanisha nitaiweka ili tusaidiane kujua kama ina ukweli au barua yenyewe hiyo hapo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.