dumbi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2018
- 989
- 1,523
Habari wakuu,ni hivi mara nyingi ninapotaka kulala yani kabla sijapata usingizi kabisa kuna sauti huwa naiskia ndani ya kichwa changu kama kuna mtu anaongea.
Kama nikistuka huwa sikumbuki alichokuwa anasema au mara nyingine hiyo sauti huwa naiskia kipindi ambacho nakaribia kuamka,yani huwa anaongea mambo mengi lakini nikiamka sikumbuki amesema nini.
Kwa mwenye ufahamu anisaidie inatokana na nini na nifanye nini ili niweze kukumbuka hayo maneno,
Je wewe inakutokea hii?
Kama nikistuka huwa sikumbuki alichokuwa anasema au mara nyingine hiyo sauti huwa naiskia kipindi ambacho nakaribia kuamka,yani huwa anaongea mambo mengi lakini nikiamka sikumbuki amesema nini.
Kwa mwenye ufahamu anisaidie inatokana na nini na nifanye nini ili niweze kukumbuka hayo maneno,
Je wewe inakutokea hii?