Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 507
- 469
Hili dude nilibahatika kuona makala yake KBC wakilielezea lakini kwa bahati mbaya sikuambulia kitu...
Ktk kipindi cha IGNITION pale KBC walilimwagia sifa kem-kem hadi nikastaajabu...
Nimeona nianzishe uzi ili wale wakali wa mashine watuelezee vzr... TOYOTA LAND CRUISER YA 2016 ina kipi kipya..
Kwa matoleo yao ya diesel na petrol.
Hii V8 landcruiser 2016 ichambuliwe mwanzo mwisho.
Mwisho ningependa kufahamishwa hivi kwa mjapani gari yake kubwa yenye ingine ya V8 ni landcruiser tu ama ana gari nyingine alizozibebesha huo mzigo?
Ktk kipindi cha IGNITION pale KBC walilimwagia sifa kem-kem hadi nikastaajabu...
Nimeona nianzishe uzi ili wale wakali wa mashine watuelezee vzr... TOYOTA LAND CRUISER YA 2016 ina kipi kipya..
Kwa matoleo yao ya diesel na petrol.
Hii V8 landcruiser 2016 ichambuliwe mwanzo mwisho.
Mwisho ningependa kufahamishwa hivi kwa mjapani gari yake kubwa yenye ingine ya V8 ni landcruiser tu ama ana gari nyingine alizozibebesha huo mzigo?