BOENG 777X
Member
- Aug 9, 2020
- 11
- 3
Habari za uzima wapendwa,
Naomba kuuliza kwa Mwenye uelewa kuhusu chuo kikuu cha Teofilo Kisanji Mbeya anijulishe ubora wake kama kipo vizuri kwenye kozi ya IT yani information technology
Nitashukuru kupata majibu.
Naomba kuuliza kwa Mwenye uelewa kuhusu chuo kikuu cha Teofilo Kisanji Mbeya anijulishe ubora wake kama kipo vizuri kwenye kozi ya IT yani information technology
Nitashukuru kupata majibu.