Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
kuna umuhimu wa kuzireprogram hizo tochi ili ziendane na teknolojia iliyopo vinginevyo hata polisi kuzitumia kama kielelezo cha ushaidi mahakamani inakuwa kazi kwelikweli wanapokutana na maIT guru