Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,397
- 9,320
Ujinga umekuwa mwingi mno. Bora tu udikteta, mara ameliwa tigo, huku miss avuliwa taji, mara kiki nyiiiiingi na umbea.Ukifanya hivi basi hii nchi haitokuwa ni ya demokrasia ni ya udikteta huwezi nyima,watu wafanye yao
Uhuru usio na mipaka huu