Mwenye tetesi za uhamisho wa mwezi June 2016

goodhearted

JF-Expert Member
Feb 15, 2015
944
1,109
jamani nimeona post moja wasap kuhusu uhamisho wa mwezi june ikielezea watumishi wa mkoa wa Dodoma waliohama. Kuna mtu yeyote mwenye tetesi za lini majina yatawekwa kwenye mtandao kwa wote
 
Nimeongea na mtu wa TAMISEMI kasema umeahirishwa kufuatia tangazo la rais alilotoa hivi karibuni kupisha uchunguzi wa watumishi hewa.
 
Hiyo hapo
 

Attachments

  • 1468104511411.jpg
    1468104511411.jpg
    36.6 KB · Views: 125
Uhamisho upo kama kawaida lakini kwa sasa na wenyewe process yake imesitishwa hadi zoezi la uhakiki wa watumishi hewa limalizike...

Tatizo la jf kuna watu ingawa hawana taarifa zozote watakuja na kusema ohhj uhamisho na watumishi hewa havihusiani....Sawa lakini ndo agizo hilo toka kwa raia namba moja...one man show
 
Tusubiri kwanza uhakiki upite ila nadhani next week mambo yanaweza kuwa poa maana zoezi la uhakiki linaelekea mwishoni
 
Kuna uhusiano mkubwa tu, ila kama hutaki kuamini shauri yako, uhakiki ukiisha ndio utahamishwa.
Msibishe bila kuwa na data jamani, utumishi wana email ya msaada tuma email uliza utajibiwa, sio mnabisha tu kama kasuku
 
Kuna uhusiano mkubwa tu, ila kama hutaki kuamini shauri yako, uhakiki ukiisha ndio utahamishwa.
Msibishe bila kuwa na data jamani, utumishi wana email ya msaada tuma email uliza utajibiwa, sio mnabisha tu kama kasuku
nipatie hiyo email tafadhali
 
Back
Top Bottom