bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Jamani hawa jamaa walitangaza nafasi za kazi mwezi June na deadline ilikuwa june hyo tar 18. Vp kuna yeyote mwenye taharifa kuhusu hawa watu?
Ninazo; walishafunga applications!!!!!
Lakini thread yako haikuwa wazi kama ulitaka hilo!asante kwa kuwa na taharifa. Mm naulizia kama washaita watu kwenye usaili au la?
Lakini thread yako haikuwa wazi kama ulitaka hilo!
ni kweli bt anaonekana kujua hadi deadline so ts obvious anataka fidback ya shortlistd kendidet kwa intavyuu
ok walishaita watu kwenye usaili abt 3-4 weeks zilizopita nahisi hata waliofanyiwa usahili majibu yameshatoka may be wakitangaza tena nitawaapdatekwel kabisa, nahtaj kujua hyo fidback mkuu.