man of mechi
Member
- May 11, 2018
- 5
- 0
Habari za majukumu wakuu kulikuwa na taarifa kuhusiana na mikopo kwa wanafunzi wa diploma katika fani za kilimo, afya na ualimu lakini umepita muda sasa sijasikia chochote kuhusiana na ili suala ..Vipi kwa anaejua taarifa zaid atujuze?