zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,875
- 1,216
mwenye taarifa kuhusu mgodi wa kuchimba uranium hapo bahi dodoma atujuze,nimesikia ungeanza mwezi wa nane,umesitishwa kwa sekeseke la jairo,mpaka mwakani,na wanaofisi yao maeneo ya airpot dodoma kama cjakosea