iziga azizi
Member
- Aug 16, 2020
- 75
- 156
Kama unafaham vifurushi vya mtandao wa smile naomba maelezo mazur kwasb bundle za mitandao ya kawaida imenishinda
mkifika Chanika nistuekaribununi zuku fiber ( unlimited internet) kwa mlioko maenee ya kariakoo yote, msasani,masaki,oysterbay,city centre,upanga yote,na kinondoni ada estate.. hutajutia only 69,000 per month kwa speed ya 10 mbps.. na ni shared network..so kama una ofisi huko au ni nyumbani njoo nkuhudumie ufurahi. mikocheni soon mtakuwa ndani
View attachment 1741261
View attachment 1741262
Na huku mbagala pia wasitusahau.mkifika Chanika nistue