walishafanya interview na wamesgachagua nina jamaa zangu wawili wamepata, hata mimi nilomba ila naona waliita watu wanaowahitaji tu. Jamaa yangu mmoja kapata nafasi ya auditing na mwingine meneja. Nadhani tusubiri bahati nyingine. Na hao jamaa zangu wote wameshatoa resignation notice hapa ofisini kwa ajili ya kujiunga huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.