ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Jana jioni nasikia imetokea ajali mbaya iliyopelekea roho za watu watatu waliokua mshikaki kwenye boda boda kugongwa na basi là drt mwendokasi na kupoteza maisha On the spot
Kutokana na ufinyu wa habari hasa TV local news siku hizi sijapata habari zaidi naomba mwenye details zaidi atujuze
Kutokana na ufinyu wa habari hasa TV local news siku hizi sijapata habari zaidi naomba mwenye details zaidi atujuze