mwenye ratiba za mikutano ya makamanda atujuze!!

mashami

Senior Member
May 8, 2012
183
27
mimi ninayo hii ya BAVICHA ARUSHA kesho tar.24/6 makamanda hawa watakua mto wa mbu kwa white hair kufungua matawi,kutoa somo la uraia pia kuwavua ukada kuwavalisha UKAMANDA
Kama kuna mwenye ratiba zingine atupia hapa!
 
[h=6]Leo Jumamosi tar 23/06/2012 kutakuwa na mkutano wa funga semester wa CHADEMA NA WANAVYUO VYOTE VYA DSM viwanja vya uzuri sinza.Dr lwaitama, Dr w.p.Slaa,dr kitila,T.Lissu,mnyika,Mdee,Heche, wageni toka nje watakuwepo mliomo humu na dar es salaam msikose.Miongoni mwa maada ni kujua falsafa ,itikadi za chama na uzalendo kwa kila mwanataifa hili. Nikatika viwanja vya 'tip' Yaani siwakukosa huo makamanda itakuwa ni funika mbaya!![/h]
 
leo jumamosi tar 23/06/2012 kutakuwa na mkutano wa funga semester wa chadema na wanavyuo vyote vya dsm viwanja vya uzuri sinza.dr lwaitama, dr w.p.slaa,dr kitila,t.lissu,mnyika,mdee,heche, wageni toka nje watakuwepo mliomo humu na dar es salaam msikose.miongoni mwa maada ni kujua falsafa ,itikadi za chama na uzalendo kwa kila mwanataifa hili. Nikatika viwanja vya 'tip' yaani siwakukosa huo makamanda itakuwa ni funika mbaya!!
tupeni matukio ya mkutano wa kufunga semester dar
 
Back
Top Bottom