tupeni matukio ya mkutano wa kufunga semester darleo jumamosi tar 23/06/2012 kutakuwa na mkutano wa funga semester wa chadema na wanavyuo vyote vya dsm viwanja vya uzuri sinza.dr lwaitama, dr w.p.slaa,dr kitila,t.lissu,mnyika,mdee,heche, wageni toka nje watakuwepo mliomo humu na dar es salaam msikose.miongoni mwa maada ni kujua falsafa ,itikadi za chama na uzalendo kwa kila mwanataifa hili. Nikatika viwanja vya 'tip' yaani siwakukosa huo makamanda itakuwa ni funika mbaya!!