Mwenye orodha ya watumishi wenye vyeti vyenye utata, msaada please!

the glassroof

JF-Expert Member
Apr 25, 2017
279
422
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, naomba kupewa link yenye orodha hiyo. Yaani cheti kimoja watu wawil au zaidi. Hapa nilipo presha iko juu sana.

Me kifupi nimesoma darasa lenye watu wengi wanafanana majina nami nikiwemo. Tusishangae sana mbona wachina wanafanana kwa sura na wanaajiriwa sembuse na sisi majina wakati sura tofauti na idara tofauti kabisa.

Tuko watatu katka utumishi, wawili kazi za kawaida na mwenzetu ni wenye sare wanaotembelea magari yasioombwa lift na mara zote wako kwenye spidi tu.

Huenda mwenzetu atapona maana hawajaguswa. Sina raha silali, niko fiti kwenye idara yangu nataka nijue mapema ili nianze maisha mapya. Tusichekane, hili janga ni kama maji tu usipo yanywa utayakoga.

Nawasilisha, mwenye kujua anisaidie huenda nikapona nikatumikia taifa. Na kwa upepo huu bora kustaafu kwa hiari hujui kipi kitaibuka tena.
 
usisahau feedback
 

Attachments

  • Halmashauri_UTATA.pdf
    469.6 KB · Views: 183
Ila kama ni majina mbona mengi tu yanafanana wao wanaangalia ishu ya index no na hata majina ynyewe hayajatoka yale ni kwny gazeti tu utumishi bado maana walisema yapo buku jero
 
Hayo majina ndo yale ambayo cheti kimoja kinatumiwa na mtu zaidi ya mmoja au?ni utata upi msaada plz.
 
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, naomba kupewa link yenye orodha hiyo. Yaani cheti kimoja watu wawil au zaidi. Hapa nilipo presha iko juu sana.

Me kifupi nimesoma darasa lenye watu wengi wanafanana majina nami nikiwemo. Tusishangae sana mbona wachina wanafanana kwa sura na wanaajiriwa sembuse na sisi majina wakati sura tofauti na idara tofauti kabisa.

Tuko watatu katka utumishi, wawili kazi za kawaida na mwenzetu ni wenye sare wanaotembelea magari yasioombwa lift na mara zote wako kwenye spidi tu.

Huenda mwenzetu atapona maana hawajaguswa. Sina raha silali, niko fiti kwenye idara yangu nataka nijue mapema ili nianze maisha mapya. Tusichekane, hili janga ni kama maji tu usipo yanywa utayakoga.

Nawasilisha, mwenye kujua anisaidie huenda nikapona nikatumikia taifa. Na kwa upepo huu bora kustaafu kwa hiari hujui kipi kitaibuka tena.
Majina kufanana sio issue index namba lazima ziwe tofauti.na cheti kinatambuliwa kwanza kwa index number, Mbona una uwoga wa chekechea mkuu?
 
Ha ha ha eti mbona wachina wanafanana!!!

Ni hivi, hawaangalii majina kufanana, wanaangalia index no ya form four au form six
 
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, naomba kupewa link yenye orodha hiyo. Yaani cheti kimoja watu wawil au zaidi. Hapa nilipo presha iko juu sana.

Me kifupi nimesoma darasa lenye watu wengi wanafanana majina nami nikiwemo. Tusishangae sana mbona wachina wanafanana kwa sura na wanaajiriwa sembuse na sisi majina wakati sura tofauti na idara tofauti kabisa.

Tuko watatu katka utumishi, wawili kazi za kawaida na mwenzetu ni wenye sare wanaotembelea magari yasioombwa lift na mara zote wako kwenye spidi tu.

Huenda mwenzetu atapona maana hawajaguswa. Sina raha silali, niko fiti kwenye idara yangu nataka nijue mapema ili nianze maisha mapya. Tusichekane, hili janga ni kama maji tu usipo yanywa utayakoga.

Nawasilisha, mwenye kujua anisaidie huenda nikapona nikatumikia taifa. Na kwa upepo huu bora kustaafu kwa hiari hujui kipi kitaibuka tena.
 

Attachments

  • Halmashauri_UTATA.pdf
    469.6 KB · Views: 169
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, naomba kupewa link yenye orodha hiyo. Yaani cheti kimoja watu wawil au zaidi. Hapa nilipo presha iko juu sana.

Me kifupi nimesoma darasa lenye watu wengi wanafanana majina nami nikiwemo. Tusishangae sana mbona wachina wanafanana kwa sura na wanaajiriwa sembuse na sisi majina wakati sura tofauti na idara tofauti kabisa.

Tuko watatu katka utumishi, wawili kazi za kawaida na mwenzetu ni wenye sare wanaotembelea magari yasioombwa lift na mara zote wako kwenye spidi tu.

Huenda mwenzetu atapona maana hawajaguswa. Sina raha silali, niko fiti kwenye idara yangu nataka nijue mapema ili nianze maisha mapya. Tusichekane, hili janga ni kama maji tu usipo yanywa utayakoga.

Nawasilisha, mwenye kujua anisaidie huenda nikapona nikatumikia taifa. Na kwa upepo huu bora kustaafu kwa hiari hujui kipi kitaibuka tena.
Acha hekaya bwana mdogo.wenye matatizo waliambia tokea february na mishahara ilishasimama,leo unakuja hapa kana kwamba unataka kuona majibu ya form four?JF hivi vitoto vinasumbua sana
 
Back
Top Bottom