Nndu wa Selote
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 733
- 520
Jamaa yangu wa karibu amepanga maeneo ya Mbezi, na mwenye nyumba anaishi nyumba ya pembeni.
Jana kaja kwangu anataka ushauri, nikamwambia asubiri niongee na wazee then nitamjibu !
Ni hivi, huyo bwana ameishi kwenye hiyo nyumba miaka 2.Mwezi wa pili Baba mwenye nyumba katoa notice kuwa mkataba ukiisha basi na hakutoa sababu !
Imepita kama mwezi baada ya notice jamaa yangu kanasa meseji za mapenzi toka kwa baba nyumba kwenye simu ya mke wake.
kibaya zaidi namba imeseviwa kwa jina la kike lakini aliposoma msg akashangaa mwanamke gani anamtumia mkewe msg za hv. alipochunguza namba akakuta ni ya faza houz.
Huyu Dogo alishashtukia ingawa hakujali, the way baba nyumba anavyosalimiana na wife wa jamaa na jinsi nkewe anavyomsifia faza hauz kwanba hanaga shida kwa wapangaji ila mkewe ndo mkorofi !
jamaa yangu anafikiria amfuate mke wa fay.a hauz amweleze ukweli aje amletee bifu mkewe na suala liwe wazi kwamba wenye mali pande zote washajua. Bado hajamwuliza mkewe chochote. Mkataba bado wiki moja kwisha !je akae kimya ? simu zipo, hata akihama ataendelelea!
Jana kaja kwangu anataka ushauri, nikamwambia asubiri niongee na wazee then nitamjibu !
Ni hivi, huyo bwana ameishi kwenye hiyo nyumba miaka 2.Mwezi wa pili Baba mwenye nyumba katoa notice kuwa mkataba ukiisha basi na hakutoa sababu !
Imepita kama mwezi baada ya notice jamaa yangu kanasa meseji za mapenzi toka kwa baba nyumba kwenye simu ya mke wake.
kibaya zaidi namba imeseviwa kwa jina la kike lakini aliposoma msg akashangaa mwanamke gani anamtumia mkewe msg za hv. alipochunguza namba akakuta ni ya faza houz.
Huyu Dogo alishashtukia ingawa hakujali, the way baba nyumba anavyosalimiana na wife wa jamaa na jinsi nkewe anavyomsifia faza hauz kwanba hanaga shida kwa wapangaji ila mkewe ndo mkorofi !
jamaa yangu anafikiria amfuate mke wa fay.a hauz amweleze ukweli aje amletee bifu mkewe na suala liwe wazi kwamba wenye mali pande zote washajua. Bado hajamwuliza mkewe chochote. Mkataba bado wiki moja kwisha !je akae kimya ? simu zipo, hata akihama ataendelelea!