Kuna aliyeamuru bendera zote za CDM zitelemshwe within 4 days! Na hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyekemea uhaini huo!Mwenye macho na atazame hiyo picha ya msanii Kipanya.
Je anawatabiria nini hao mabwana wakubwa?View attachment 1078822
Ukimuona Magesa Mulongo (the former RC wa Arusha) alivyo sasa, hutatamani hayo mavyeo!!!Hakuna marefu yasiyo kua na ncha,hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho..tena hawa wa vyeo vya kuteuliwa nawahurumia sana..wanadharirika sana mbele ya safari.
Cheo ni dhamana..tumieni kwa masilahi ya taifa sio binafsi..kuna maisha baada ya uteuzi.
Yule kichaa wa Arumeru ameshangaza sana Mkuu.Kuna aliyeamuru bendera zote za CDM zitelemshwe within 4 days! Na hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyekemea uhaini huo!
Mkuu haya ma vyeo acha tu nilikutana na jamaa yangu alikua DC wilaya fulani sasa akatumbuliwa taarifa alizipata kupitia watsap dereva wake alimwambia basi walikua kwenye ziara akasema watu wote wakaanza kumdharau pale pale ha ha ha ha ha ha saizi kachokaUkimuona Magesa Mulongo (the former RC wa Arusha) alivyo sasa, hutatamani hayo mavyeo!!!
Mkuu Magesa Mulongo si alishakata moto kitambo? I mean alisha fariki.....Ukimuona Magesa Mulongo (the former RC wa Arusha) alivyo sasa, hutatamani hayo mavyeo!!!