Mwenye lolote kuhusu mlima Kilimanjaro, tupia hapa!

abrhms

Member
Nov 13, 2015
15
18
Kheri ya mwaka mpya wanajf. Nimekuwa na ndoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa miaka kadhaa sasa ila kwasababu za hapa na pale (hasa uchumi) nimeshindwa kutimiza ndoto yangu. Nina imani siku moja ndoto yangu itatimia.

Basi naomba nipate kuujua tu mlima wetu mrefu kabisa barani Africa. Mwenye lolote lile kuhusu mlima Kilinanjaro tafadhari
Screenshot_2017-01-01-17-17-34-1.png
 
1. Upo Kenya!

2. Ulikuwa maarufu zamani

3. Kwa sababu upo kaskazini ......


Wengine ongezeeni!

But Mlima huu ni hadhina kubwa na ya thamani. hauhitaji mitaji mikubwa sana ili kuleta faida

Kama "jamaa yule" anapenda biashara kiasi kile, FURSA HII

Tatizo upo Kaskazini!

Sijui Tuuhamishie ........!!!!
 
1. Upo Kenya!

2. Ulikuwa maarufu zamani

3. Kwa sababu upo kaskazini ......


Wengine ongezeeni!

But Mlima huu ni hadhina kubwa na ya thamani. hauhitaji mitaji mikubwa sana ili kuleta faida

Kama "jamaa yule" anapenda biashara kiasi kile, FURSA HII

Tatizo upo Kaskazini!

Sijui Tuuhamishie ........!!!!
Haha...Kenya tena....
 
Back
Top Bottom