demu wa kikinga
Member
- Mar 21, 2018
- 46
- 14
Ukifika njombe town unapanda gari za kuelekea wapi
Kuna mmoja yupo makete usagatikwa jina limenitoka ila anafahamika sana, yeye kafariki ila watoto ndio wana mikoba.
Watu kama Mwafrika wamepatia utajiri kwake kwa sharti la kutofanya kazi alhamisi.
Kuna Mwandulami yupo Makambako, watafute watakusaidia.
Na njombe kuna kijiji kinaitwa wikichi, kuna msitu unaitwa nyumba nitu.2004 nilitembelea hiyo sehemu kuna magwiji pia fanya uende hapo pia.
Gwiji mmoja aliniambia walokole waliharibu shrine yao, wote wakaumwa.Wakaenda kupiga maombi lakini wapi wakarudi kutibiwa hapo hapo nyumba nitu.
Ukishindwa kabisa seek God!