Mwenye kujua Yard inayouza Gari Hii Tafadhari

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Habari zenu,

Naomba kama kuna mtu anajua wanapouza gari aina hii. Ni kwa ajili ya kubebea mzigo maswafa marefu kama 600kms hivi. Pia waweza nishauri brandi ipi ni nzuri mfano Toyota, TATA, au Mitsubishi.


Ahsanteni
6815-mitsubishi-fuso-canter-water-truck-4x2-1-.jpg
Mitsubishi_FUSO_Canter_L_1.jpg
Mitsubishi_Fuso_Canter_Mk8_FE7_515_CityCab_Refrigerator_Truck_2016_1000_0001.jpg
 
Diamond Motors Unapata Hizo Chombo
Kama Unakwenda Airport Ya Dar es salaam
Telemka Kituo Kinaitwa Sido.
Tata Huko Huko Ni Jirani Hapo Hapo
 
Nenda kama unaenda uwanja wa ndege. Kabla hujafika, mbele kidogo ya mataa ya Vingunguti kulia, utapaona kwenye Yard yao. Ila gari zao ni mpya kabisa. Sio used...
 
Back
Top Bottom