Mwenye kujua mishahara ya graduate kwenye mabank

Haya yote umesema wewe, ndio maana toka mwanzoni natofautiana na wewe kwamba ina maana mtu akiuliza amount anategemea cheti chake na hajui kazi??je tunaweza kujuwa uwezo wa mwanzisha thread au huyo mtu anayeuliza amount??Nadhani ni kutofautiana na sio kila mtu anayetaka kufahamu something basi hajui kitu, wengi wanaupeo na wamefanya kazi, nowdays hamna mtu atakaye kuajiri kwa kutumia cheti chako

Still sitokubaliana na wewe kwa point yako ya mtu kuuliza mishahara......Ni vizuri kushindana kwa hoja nadhani na challenge...

Lets say mtu wa Masters ameomba msaada mshahara gani atalipwa na hapo hajasema ana experience ya mda gani je hapo still utasema labda na yeye anaangalia cheti chake??Ni bora kufikiria zaidi.....

Hapo ndio mnashindwa kukubaliana na jamaa yenu. Sidhani kama amekosea sana ila ni namna yake mbovu ya kueleza lkn kwa haya yako ni kweli unapotoka na hii sio akili njema. Mshahara wa Masters ndio kitu gani?

Swali haliwezi kuwa mshahara wa manger, teller, bank officer au mfagiaji?

Kama unataka kujua mshahara wa masters, bachellor au PhD ungeuliza siku ulipomaliza chuo manake huko ndio zipo zote. Ni suala la kumuuliza professor aliyekufundisha mshahara wako shingapi

Mnashindwa kuelewana sehemu ndogo sana
 
Kuna chalii anaitwa MWANA MTOKA PABAYA anatukana balaa, ukute hata yeye ni Clerk sehemu flani au Officer wa kuishikwa mkono. Ndo hua tabia zao alipo si kutokana na elimu bali elimu na kujamiiana(sicialize) kwa wazazi wake.

Loh, wewe ndio unamrekebisha yeye?

Wewe ndio wa hovyo kabisa. Tena huna adabu. Kisa nini uwashambulie wazazi wake ilhali mnaojadili mada ni nyinyi? Uwe na heshima na utumie vema akili yako mkuu.

Sicialize ndio nini?
 
Hapo ndio mnashindwa kukubaliana na jamaa yenu. Sidhani kama amekosea sana ila ni namna yake mbovu ya kueleza lkn kwa haya yako ni kweli unapotoka na hii sio akili njema. Mshahara wa Masters ndio kitu gani?

Swali haliwezi kuwa mshahara wa manger, teller, bank officer au mfagiaji?

Kama unataka kujua mshahara wa masters, bachellor au PhD ungeuliza siku ulipomaliza chuo manake huko ndio zipo zote. Ni suala la kumuuliza professor aliyekufundisha mshahara wako shingapi

Mnashindwa kuelewana sehemu ndogo sana

Mkuu wangu mimi sipo hapa kutetea mshahara wa mtu fulani wala elimu yake wala kiasi anachopata, huko wala sipo na ukifatilia toka mwanzo wa thread utagundua nipo upande gani hasaa na kitu gani ambacho sikubaliani nacho kutoka kwa bwana mkubwa, na naona hapo nilipoandikaa kwenye Masterz umechukua kipande kimoja najuwa kama ungechukua mstari mzima ukaunganisha then usingeweza kusema napotoka maana hapo nimeeleza huyo mtu wa Masters awe na nini, so sitokuwa na hoja ya kipingamizi hapo......
 
Haya yote umesema wewe, ndio maana toka mwanzoni natofautiana na wewe kwamba ina maana mtu akiuliza amount anategemea cheti chake na hajui kazi??je tunaweza kujuwa uwezo wa mwanzisha thread au huyo mtu anayeuliza amount??Nadhani ni kutofautiana na sio kila mtu anayetaka kufahamu something basi hajui kitu, wengi wanaupeo na wamefanya kazi, nowdays hamna mtu atakaye kuajiri kwa kutumia cheti chako

Still sitokubaliana na wewe kwa point yako ya mtu kuuliza mishahara......Ni vizuri kushindana kwa hoja nadhani na challenge...

Lets say mtu wa Masters ameomba msaada mshahara gani atalipwa na hapo hajasema ana experience ya mda gani je hapo still utasema labda na yeye anaangalia cheti chake??Ni bora kufikiria zaidi.....

Masters ni occupation gani?

Kaazi kweli kweli. Ndio maana nikakuuliza hivi jana, Graduate akiuza ndizi sokoni atapata faida kiasi gani, ukalala mbele. Hivi hapa ni nini kigumu kuelewa?
nowdays hamna mtu atakaye kuajiri kwa kutumia cheti chako

Acha kujichanganya wewe, kama huajiriwi kwa cheti mbona mshahara mnauulizia kwa cheti?
 
Mkuu wangu mimi sipo hapa kutetea mshahara wa mtu fulani wala elimu yake wala kiasi anachopata, huko wala sipo na ukifatilia toka mwanzo wa thread utagundua nipo upande gani hasaa na kitu gani ambacho sikubaliani nacho kutoka kwa bwana mkubwa, na naona hapo nilipoandikaa kwenye Masterz umechukua kipande kimoja najuwa kama ungechukua mstari mzima ukaunganisha then usingeweza kusema napotoka maana hapo nimeeleza huyo mtu wa Masters awe na nini, so sitokuwa na hoja ya kipingamizi hapo......

Wewe kweli kichwa ngumu, labda nijikakamue kwa mara ya mwisho kwa mfano utakaonicost muda lkn that will be final.

Nakuwekea hapa chini mfano wa Investors wawili wakiwa wanaplan Resource Management ya firms zao.

Investor A

-Raw Material Handler nitamlipa 120,000 kwa mwezi kwa kuwa kazi zake ni manual na only 6hrs per day
-Driver nitamlipa 200,000 kwa kuwa hata baada ya muda wa kazi kuisha, yeye bado hulazimika kuwapeleka wenzake nyumbani ndipo naye akapumzike kwa hiyo anakuwa yupo kazini.
-Manager nitamlipa 500,000 kwa kuwa kazi yake haiishii ofisini, hata akiwa nyumbani still anaendelea kupanga strategies kwa ajili ya kesho yake
-Kitchen Attendant nitamlipa 200,000 kwa kuwa nature ya kazi yake inahitaji utulivu na uangalifu, nisipomlipa vyema anaweza akaleta disaster kwa kampuni nzima kwa kukosa umakini
-Mlinzi nitamlipa 250,000 asilishawishike kuhongwa na dereva au mpishi wakatorosha mali yangu.
-Marketing Officer 450,000 huyu lazima awe well promoted ili auze zaidi faida ipatikane

Investor B

-Graduate nitamlipa 4,000,000 kwa kuwa kasoma sana. Atakuwa meneja
-Darasa la 7 (mlinzi) nitampa 100,000 elimu yake ndogo
-Form 4 huyu 120,000 inamtosha kwanza si yeye ni mpishi tu
-Diploma (Marketing) 250,000 huyu hakusoma sana huo unamtosha

Sasa tumia akili yako kujiuliza ni upi ufanyaji mzuri wa maamuzi ikiwa lengo ni kuzalisha faida zaidi
 
Hatimaye hoja zimekwisha, sasa unataka hata kuukejeli ukweli. Haya wewe maoni yako ni yepi katika hilo la spelling mistake?

Invester vp bwana...asubuhi yote hii uko JF??Au ndio hauko full engaged??Kejeli ulizianza mapema mkuu...ingekua una nia ya dhati ili ueleweke usingetoa maneno kama uliyokua unayatoa...Sina maoni mkuu...naangalia wakosoaji wa 'kiswanglish'........
 
Hivi mishahara inalipwa kwa aina ya makaratasi ulioandikiwa baada ya kufanya mtihani wa kukariri au kwa aina ya kazi utakayopewa?

HIvi mnajifunza nini shuleni nyie kizazi cha nyoka? Well then, acha nikuoneshe ujinga wa kuamini unachoamini badala ya kutumia elimu kufikiri.

Bank ya Mkombozi (na benki nyingine nyingi tu) ili uwe Teller, inalazimu uwe na Degree moja. Mshahara ni 540,000 - 800,000
FHI inamlipa dereva Tshs 800,000 - 1m kutegemeana na kiwango cha elimu na uzoefu.

Graduatism inawafanya mnakuwa maskini mabwege nyinyi

yani signature yako na maneno yako sawa sawa...

Mndengereko mieeeeeee! Nitafilisika kila kitu lakini siyo MANENO.
 
Mwana Mtoka Pabaya huyu jamaa anaandika kama vile ameshafika khaaah utadhani ugomvi haya mfanyabiashara mkubwaa ungemjibu kwa busara tuu yangetosha au mpe hata mtaji naye awe mfanyabiashara kama wewe. watanzania bhana kupata kidogo ishakuwa tabu
 
Invester vp bwana...asubuhi yote hii uko JF??Au ndio hauko full engaged??Kejeli ulizianza mapema mkuu...ingekua una nia ya dhati ili ueleweke usingetoa maneno kama uliyokua unayatoa...Sina maoni mkuu...naangalia wakosoaji wa 'kiswanglish'........

Kweli sijaeleweka. Sasa kwa nini usinikejeli mimi badala yake unaukejeli ukweli?

Kama unaangalia ukosoaji basi angalia tu na sio kuniongezea kazi ya kurekebisha. Kwanza mimi sijakosoa, labda kama hujui maana ya kukosoa, idiot!

KUKOSOA ni kama ningeishia kusema JIBU SIO A. Lkn mimi nilisema JIBU SIO A bali NI B na nikatoa mifano. Kwa hiyo mimi sikukosoa bali nilirekebisha kwa hiyo nina hakika Mr. Madesa Mkariri Majibu MSc., PhD, Bcom-LLB(Hons.) hatorudia kusema Banking Carrier badala ya Banking Career.

Mfano mwingine:
Invester sio spelling mistake. Ingekuwa spelling mistake kama kungekuwa na alphabetical mix-up within a word na sio introduction ya alphabet nyingine inayo-sound alike kwenye matamshi. 'Invetsor' yaweza kuwa spelling mistake kwenye Investor na sio Invester.


Kwa hiyo ndugu yangu Mr.Mpendaubishi Kichwanihamnakitu, neno sahihi pale ni INVESTOR na sio INVESTER. Nakurekebisha, sikukosoi. Karibu Ikwiriri tule maboga na samaki kitoga
 
Mwana Mtoka Pabaya huyu jamaa anaandika kama vile ameshafika khaaah utadhani ugomvi haya mfanyabiashara mkubwaa ungemjibu kwa busara tuu yangetosha au mpe hata mtaji naye awe mfanyabiashara kama wewe. watanzania bhana kupata kidogo ishakuwa tabu

Slow down mkuu, how are you?

Natamani ningeelewa ulichoandika, lkn kwa namna yako ya uandishi isiyo na punctuation, kwa kweli ni vigumu kukuelewa.
Nimefanikiwa kuona nukta moja tu katikati ya small cases 2. Unaweza kuleta upya hoja yako in a more presentable manner pengine naweza kukuelewa unahitaji nini.
 
Kweli sijaeleweka. Sasa kwa nini usinikejeli mimi badala yake unaukejeli ukweli?

Kama unaangalia ukosoaji basi angalia tu na sio kuniongezea kazi ya kurekebisha. Kwanza mimi sijakosoa, labda kama hujui maana ya kukosoa, idiot!

KUKOSOA ni kama ningeishia kusema JIBU SIO A. Lkn mimi nilisema JIBU SIO A bali NI B na nikatoa mifano. Kwa hiyo mimi sikukosoa bali nilirekebisha kwa hiyo nina hakika Mr. Madesa Mkariri Majibu MSc., PhD, Bcom-LLB(Hons.) hatorudia kusema Banking Carrier badala ya Banking Career.

Mfano mwingine:
Invester sio spelling mistake. Ingekuwa spelling mistake kama kungekuwa na alphabetical mix-up within a word na sio introduction ya alphabet nyingine inayo-sound alike kwenye matamshi. 'Invetsor' yaweza kuwa spelling mistake kwenye Investor na sio Invester.


Kwa hiyo ndugu yangu Mr.Mpendaubishi Kichwanihamnakitu, neno sahihi pale ni INVESTOR na sio INVESTER. Nakurekebisha, sikukosoi. Karibu Ikwiriri tule maboga na samaki kitoga

hahahaa...ukiwa povorked una'respond vizuri sana mkuu....
 
Masters ni occupation gani?

Kaazi kweli kweli. Ndio maana nikakuuliza hivi jana, Graduate akiuza ndizi sokoni atapata faida kiasi gani, ukalala mbele. Hivi hapa ni nini kigumu kuelewa?




Acha kujichanganya wewe, kama huajiriwi kwa cheti mbona mshahara mnauulizia kwa cheti?



Nimependa jinsi ulivyo na ujasiri wa kuelimisha na kusimamia hoja.Hii ndio elimu yenyewe na wala sio upofu wa kutafuta vyeti bila kuwa na kitu kichwani.
 
hahahaa...ukiwa povorked una'respond vizuri sana mkuu....

Eti eeh?!

Have you ever tried to fool a fool? That is not as funny as when a fool tries to fool himself. Just keep on waiting for the day that I will get provoked, but bear it in mind; Jesus, our Lord, might have been back by then.

Look at this one fella...

[h=2]Mshahara wa 'Tutorial Assistant' University of Bagamoyo ni sh ngapi?[/h]
Saluti wadau wa JF!
Naomba msaada mimi na jamaa yangu tumepata nafasi ya ututorial assistant na Laboratory technician ila kwa sasa tuna kazi sehemu hivyo tunataka kujua maslahi yakoje ili tuamue kwenda au la maana tupo mbali na jiji tupo mikoani. Kama kuna mtu mwenye details atusaidie jamani tuwe na maamuzi sahihi.

This is the way for the elite class, na sio kuuliza mshahara wa Graduate. Huyu KIFPA ana elimu, 5 kwake.
 
Last edited by a moderator:
Nimependa jinsi ulivyo na ujasiri wa kuelimisha na kusimamia hoja.Hii ndio elimu yenyewe na wala sio upofu wa kutafuta vyeti bila kuwa na kitu kichwani.

They may think that I am against them, but wrong. I am against their corrupt attitude. Mtu kuulizia mshahara si dhambi, ni haki kujua how much to expect. Lkn kuna ujinga umeambatana na swali wanajifanya hawauoni. Kuna hii post nyingine Jukwaa la Kazi, the guy is very clever and reasonable. Just watch for yourself

Mshahara wa Tutorial ........by KIFPA


Huyu jamaa ndio mwenye elimu. Elimu inamfanya mtu awe reasonable na responsible. Otherwise, according to me, you are just a ****.
 
Back
Top Bottom