Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Mwl. J. K. Nyerere alisema Watanzania wanahitaji mabadiliko na wasipo yaona ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Kuna watu walidhani Tanzania tunahitaji mabadiliko ya maigizo maigizo.
Nyerere alisema eti kuna wanasiasa Malaya Malaya tuwaogope Kama ukoma. Muda wa kudanganyana umekwisha tunataka mabadiliko ya kweli sio mazingaombwe.
Tundu Lissu ndiye rais ajaye Mungu anajua na hata lbirisi anajua ndio maana Leo anahangaika kuzuia mpango wa Mungu huko Ukerewe.
Maendeleo hayana vyamaa.
Nyerere alisema eti kuna wanasiasa Malaya Malaya tuwaogope Kama ukoma. Muda wa kudanganyana umekwisha tunataka mabadiliko ya kweli sio mazingaombwe.
Tundu Lissu ndiye rais ajaye Mungu anajua na hata lbirisi anajua ndio maana Leo anahangaika kuzuia mpango wa Mungu huko Ukerewe.
Maendeleo hayana vyamaa.