Kunguru wa Kizungu
Member
- Dec 12, 2019
- 7
- 39
Habari wadau wa JF,
Naomba kufahamishwa makadirio ya kodi kwa mwezi kwa mawakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu mfano M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k
Mfano mtaji wa laki tano kwa wakala huyo. Asante.
Naomba kufahamishwa makadirio ya kodi kwa mwezi kwa mawakala wa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu mfano M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k
Mfano mtaji wa laki tano kwa wakala huyo. Asante.