jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
Kwa muda sasa nimekua nikisikia juu juu kwamba ngorongoro,mara bustan ipo angani na pryamid uko misri zipo kati ya maajabu saba au nane ya dunia,ila sijajua vizuri nyingine ni zipi,mjuvi wa ili tafadhali nijuze nipate kujua