Mwenye kujua Kuhusu maindi ya Njano

BABU KIDUDE

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
1,588
904
Kichwa cha habari, naendelea kufanya Utafiti kuhusu mahindi madogo ya njao yanayotumika kutengenezea Popcorn. kwa kiasi kikubwa mahindi haya yanatoka nje ya Nchi kwa sasa . mwenye kujua je mahindi haya hayawezi kulimwa hapa kwetu? kama yanawezekana nijalie hari hewa na udongo, muda wa kuvunwa, magonjwa na changamoto zake please
 
Tatizo nini mkuu? na yanalimwa wapi?
unajua mahindi ya pop corn mengi hapa tanzania wanatumia kwa ajili ya kutengeneza kitu wanaaita bisi au kwa lugha ya wenzetu pop corn sasa ya hapa nyumbani wanasema haya vimbi ndugu na kuleta hasara uku niliko 1kg=4000-4500
 
waone wataalamu wa mambo ya mahindi wata kupa tofauti ila ki ukwer nafahamu kuna makontena mengi yanatoka india yakileta hayo maindi
 
Haya mahindi yanataka yalimwe nda ni ya greenhouse, kwasababu hayatakiwi kuchanganya mbegu za mahindi mengine wakati wa uchavushaji wa maua
 
Sio lazima iwe kwenye greenhouse inachotakiwa ni kukakikisha shamba lako haliko karibu na shamba lingine la mahindi aina nyingine kuzuia crosspolination. Mimi nimelima sana popcorn Iringa na quality was excellent. Cha maana hakikisha unapata mbegu A uhakika
 
Haya mahindi niliwahi kuyalima na yakawa mazuri Sana, inatakiwa tu uzingatie, eneo ambalo hakuna mahindi mengine, halafu uwahi kulima, kwani yenyewe ni ya muda mfupi kwa hiyo yataiva mapema Sana, magonjwa yanayosumbua ni yale yale kwa mahindi jamii nyingine. Usihofu lima tu yanakubali tu.
 
Back
Top Bottom