Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Asante kakaSwitz... wapo Schengen sisy. Sema hawapo EU.
Asante kakaSwitz... wapo Schengen sisy. Sema hawapo EU.
Samahani, swali la ufahamu!Nchi zote za Ulaya kasoro Uingereza na Switzerland wanatoa chengen visa. Ukiipata unaingia nayovnchi zote zenye makubaliano ya chengen
Uwe na sababu inayokupelekaSamahani, swali la ufahamu!
Unaweza ukaelezea kidogo kwa udani procedural stages to follow, for someone living and born in Tanzania till he/she get this Visa.
Asante sana.
Shukrani kwa ufafanuzi, hiyo point ya pili mwishoUwe na sababu inayokupeleka
Uwe na ushahidi wa mahali utakapofikia
Uwe na pesa za kukidhi safari yako
Uwe na passport valid
Asante.Mkuu asante sana kwa maelezo yako hakika una moyo wa kipekee ubarikiwe sana!!!
Zingatia ushauri kaka huko wakina Ngonyani, Mapunda, Mwakipesile, Mwakapanga wapo wengi sanaHahahaaaaaaa
Nisaidie mimi nahitaji seriouslyUna uhakika?
Mkuu jazia nyama kidogo hapo yaani baada ya kusomea udereva nn kifuate??
Inatakiwa kufanya nini ili niweze kufika huko kwa utaratibu na salioNjo Singapore ule Bata mkuu
Uwe na Passport na kiasi Cha pesa kisichopungua USD 5000.Inatakiwa kufanya nini ili niweze kufika huko kwa utaratibu na salio
11 Mil. Kwa ela ya dada Samia aiseeUwe na Passport na kiasi Cha pesa kisichopungua USD 5000.
Hiyo pesa huku ni ya kawaida Sana halafu maisha no ghali Sana mkuu.11 Mil. Kwa ela ya dada Samia aisee
Unaitwaje huo uzi niutafute?Yule jamaa nilisoma uzi wake, yule ni Risk taker hatari sana nimemkubali aisee