Zinakuhusu nini wewe. Kwani wewe ndie ulizitafuta. Kodi yenyewe hapo ulipo hujawahi kulipa hata siku moja. Unakwepa kwepa tu. Acha ujinga fanya mambo mengineWanabodi salaam,
Naomba msaada kujua gharama zilizotumika katika sherehe za Uhuru 9/12/2016, namalizia usafiri nahitaji baadhi ya data ili niwe na haki ya kuzungumza.
NB: Kwa mwenye kujua tu, hujui "shut up".
ficha upumbavu wako kama hujui namna bora ya kuchangia, na kama hujui jibu la swali kaa kimya..Zinakuhusu nini wewe. Kwani wewe ndie ulizitafuta. Kodi yenyewe hapo ulipo hujawahi kulipa hata siku moja. Unakwepa kwepa tu. Acha ujinga fanya mambo mengine
Za nini kamanda. Haitakusaidia lolote cha msingi jitahidi ulipe kodi bila kukwepa. Haya ndio matumizi yake. Kama hulipi basi na sherehe zinaahirishwa.Wanabodi salaam,
Naomba msaada kujua gharama zilizotumika katika sherehe za Uhuru 9/12/2016, namalizia usafiri nahitaji baadhi ya data ili niwe na haki ya kuzungumza.
NB: Kwa mwenye kujua tu, hujui "shut up".
Sasa nani kakwambia JF tulikua kwenye kamati ya maandalizi ya sherehe. Na hata kama kuna mtu alikuamo hawez kukupa mtu usiyehusika details hizi. Uelewe tu. Haya maswali mengine hayana msingi kamanda. Nenda officially kwa Jenista Mhagama na Makonda watakupa tuu.usipoteze muda wako hukuficha upumbavu wako kama hujui namna bora ya kuchangia, na kama hujui jibu la swali kaa kimya..
Matumizi ya serikali toka lini yakawa siri kwa raia wake?Sasa nani kakwambia JF tulikua kwenye kamati ya maandalizi ya sherehe. Na hata kama kuna mtu alikuamo hawez kukupa mtu usiyehusika details hizi. Uelewe tu. Haya maswali mengine hayana msingi kamanda. Nenda officially kwa Jenista Mhagama na Makonda watakupa tuu.usipoteze muda wako huku