kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,929
Habarini ndugu zangu,
Naomba kujua gharama za kujenga msingi tu wa nyumba kama nilivyoelezea hapo juu
-Vyumba viwili (viwe na makabati ya ukutani na viwe master),
-Sebure
-dinning
-jiko
-store
Eneo langu ni 20*29
Mahala ni: Mbezi ya Kimara, Dar es Salaam
Naomba kujua, ni kiasi gani nikikiandaa naweza jenga msingi wa nyumba hiyo
Karibuni
Sent using komputa mpakato
Naomba kujua gharama za kujenga msingi tu wa nyumba kama nilivyoelezea hapo juu
-Vyumba viwili (viwe na makabati ya ukutani na viwe master),
-Sebure
-dinning
-jiko
-store
Eneo langu ni 20*29
Mahala ni: Mbezi ya Kimara, Dar es Salaam
Naomba kujua, ni kiasi gani nikikiandaa naweza jenga msingi wa nyumba hiyo
Karibuni
Sent using komputa mpakato