Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,251
Chumba cha chakula! Kwa hili wewe si mwenzetu tafuta kontrakta umpe tenda sisi unaotuuliza ugali tunashika sahani mkononi.
Ulitakiwa upige kimya.Chumba cha chakula! Kwa hili wewe si mwenzetu tafuta kontrakta umpe tenda sisi unaotuuliza ugali tunashika sahani mkononi.
Duu, mkuu hilo litakuwa kanisa au bwalo la kulia wanafunziNa vyumba hivyo unataka viwe na ukubwa upi? Maana unakuta nyumba nyingine inaukubwa wa square mita 400 ila ina chumba na sebure tu. Hivo elezea kinagaubaga mchoro wa nyumba ya ndoto yako ikoje
Sent using Jamii Forums mobile app
unazingua ukubwa huo nyumba inajengwa na nafasi ya banda la kuku inabakia.Ni mita ila kwa ukubwa wa eneo hilo na nyumba anayotaka kujenga kwa kiwanja hicho atakos pa kuchimba choo na pa kuanikia nguo
Kwa kifupi unatakiwa uwe na ramani ya nyumba hiyo na kibali cha ujenzi, vinginevyo ni kosa kisheria.Ulitakiwa upige kimya.
Ungemuelewesha na sisi tukaelewa tupo kwa ajili ya kushikana mikono tulipo kwama.Kwa kifupi unatakiwa uwe na ramani ya nyumba hiyo na kibali cha ujenzi, vinginevyo ni kosa kisheria.
Nilidhani utanielewa huo ni ujenzi mkubwa.
upo sahihi kabisawajameni kama hamjawahi kujenga nyumba piteni tu, hapa jamaa anataka wale ambao wamejenga watoe uzoefu. kwa mfano unaeleza umetumia tofali ngapi, mchanga kiasi gani, mifuko ya cement mingapi, kokoto kiasi gani, gharama za maji, malipo ya mafundi n.k. kuna mada zingine zinaelekeza, zinafundisha, sasa watu wanaleta masihara.
Sijui unaongelea nyuma gani wewe hata sikuelewi yaani ulubwa kiwanja 20×29 unasema atakosa pa kupaki gari kwani kasema anajenga hekalu na swimming pool ndani?Itakuwa sio nyumba hiyo ni banda.
Ndugu mimi nimejenga .
Sema kwa yeye kwa kiwanja chake ni cha kuanzia maisha kwa kujishikiza tuu kitamtosha ukijenga hapo nyumba ya kuishi familia inavyotakiwa ni kidogo sana atakosa hata pa kupaki gari kama analo
Hivi humu mbona kuna kejeli sana
Hakika mkuu, na roho mbaya juuKejeli zinaletwa na wale wenzangu na mimi wanaoishi nyumba za kupanga. Ambao hata bei ya tofali hawaijui.
Kejeli zisikutishe, ramani moja inaweza kujengwa kwa gharama tofauti coz mwingine ana uwezo sana na mwingine hana uwezo mkubwa.Hakika mkuu, na roho mbaya juu