Sio kwa ajili ya Taa mkuu Kukiwa na utulivu tu wanaanza zao.. Hawana Macho tambua hiloHahaaa kuna sehemu nilifika ukizima taa mende wanaruka sebureni kama kumbikumbi.
ni kweli wanakufa ila after some time wanarudi. mimi kuna siku nilifua net nikamwaga hayo maji chooni looh nilishangaa sana kukuta mende wengi wamekufa. ila sa ivi wapo tenaMende wale wakubwa wa chooni. Dawa yao ni hii: Nunua vidinge 4 vile vya Ngao ya kuulia mbu, kisha changanya na maji ndoo moja. Kisha yamwage chooni. Mende kwisha habari yao.
Mafuta ya aina gani?MI Mende nawamalizaga kwa mafutataa Yaan hawayapendi kbs ukimpulizia kidog atakimbia Mpk atakufa mwenyew alafu Maeneo wanayopenda kukaa unapulizia hawatakanyaga
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mende ni wadudu hatari sana kwa afya inahitajika kufanya fummigation usafi hauwezi kumaliza vyanzo na mazalia kwa sasa inahitajika kufanya fumigation kuangalia kabisa Mende hao alafu usafi uzingatiwe isitokee tena pamoja na kupiga dawa baadae ya angalau kila baada ya miezi mitatu kwa huduma Nzuri na nafuu ya fummigation wasiliana nasi 0657835309 tutakusaidia
Kweli ni kiboko na tena wanapotea kw a muda mrefu sana nishawahi kuitumia nzr sanagreen leaf kiboko asikudanganye mtu mim nilizoa mende nusu ndoo had wajukuu wote kushney jaribu hautojuta
Mafuta ya taa "kerosene"Mafuta ya aina gani?
Kaka vipMI Mende nawamalizaga kwa mafutataa Yaan hawayapendi kbs ukimpulizia kidog atakimbia Mpk atakufa mwenyew alafu Maeneo wanayopenda kukaa unapulizia hawatakanyaga
Hii dawa ni komesha.
Maziwa ya fresh aukweli kaka unaijua ni kweli unamix na maziwa but its the best dawa ever....yssni wanmgeweza wangenipa umarketing Manager maana nimeelekeza watu kibao..nao wote wameprove kwamba ni the best
Japo ni post ya kitambo lakini nimegundua dawa mpya! Kwa bei nafuu mno na matokeo ni ya kushangazaEnyi matabibu wa JF.
nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya kufa.
Dawa za kupuliza wamezigeuza viroba wanazitamani kweli ili walewe.
Mnaweza kuchukulia utani, ila niko siriaz.
Naomba msaada wenu wa kitabibu.