jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Nimeona kina tangazo linatembea kwenye mitandao kuwa kwa sasa zimeingia antena za tvfox yaani zenyewe zina channel free akuna kulipia hakuna kingamuzi na hakuna habari za cable wala dishi.kama kuna anyezijua zaidi anifahamishe kabla sijalipa dola 82.5 zangu kuwatumia jamaa