Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo huku Kenya kuna watu wanamuulizia, Mara baada ya kusikia Mimi nimetokea tz,kiukweli cjui chochote kuhusu huyu jamaa
Kuna tetesi huku mtaani kwenye mitandao mingine kuwa hatunae mara kajiua mara kapata ajali na bajani ila sijajua hizi yaarifa kama niza ukweli sina uhakika nazo ila habari iliyopo wanadai hayupo duniani!Nipo huku Kenya kuna watu wanamuulizia, Mara baada ya kusikia Mimi nimetokea tz,kiukweli cjui chochote kuhusu huyu jamaa
Weka picha ya hao watu wanaomuulizia
Pier dau.Hahaha dah. Dog food is not good for your health.
Hahaha sakayo banaaHebu jaribu kumuuliza Dudu baya anaweza akawa na jibu zuri
Mkuu kuna habari mbaya huku mitaanai kuhusu yeye na picha hiiNipo huku Kenya kuna watu wanamuulizia, Mara baada ya kusikia Mimi nimetokea tz,kiukweli cjui chochote kuhusu huyu jamaa
Ajali ya bajaji ni ya longtime. Labda kama hii ni mpya ...Mkuu kuna habari mbaya huku mitaanai kuhusu yeye na picha hii
View attachment 446190
Hii nimeikuta kwenye mtandao ila sina uhakika kama hizi habari niza kweli maana taarifa kamili hazijatolewa