Mwenye kuifahamu Tunduru High School

minmarry

Member
Jun 27, 2016
6
0
Habari wana jf,

Matumaini yangu mu wazima wa afya. Mimi mwanafunzi niliyechaguliwa katika shule hiyo, naomba mwenye kuifahamu anijuze sehemu ilipo na mambo mengine kiujumla. Nimechaguliwa PCB
 
mkuu kwa hiyo sisi jkt tutaitumikia kwa miaka yote ya advance , sawa mkuu cha msingi mm ntapiga msuli tu kama level yangu ya mwisho ya secondary.
 
naomba number ya simu ya shule au ya staff wa pale nahitaji kuwasiliaana nao haraka wakuu
 
Iyo shule watu wengi wanapakimbia sana,nakumbuka mwaka jana wana kibao waliamia rungwe boy,wanasema pale amna walimu,afu viongozi ndo wababe wanapokonya adi simu.ukifika utajionea kiuhalisia zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom