MATONYA new
Senior Member
- Jan 21, 2021
- 139
- 330
Tumemsikia mama yetu mpendwa akilalamikia makundi kuwa yanaharibu taswira ya sirikali yake
Ndugu zangu tujiulize haya
1. Je, ni nani anayechelewesha mradi wa bwawa kubwa la umeme la Stigler's Gorge???
2. Je ni nani anayechelewesha ujenzi wa reli ya umeme maarufu wa SGR???
3. Je ni nani anayelihujumu shirika la umeme Tanzania Tanesco hivyo kupelekea uwepo wa mgao wa umeme???
4. Tozo, hizi tozo nani amezileta na faida zake mbona hatuzioni???
5. Mfumko wa bei za bidhaa mbalimbali hapa nchini, nini muafaka??
6. Machinga, kuhamishwa, je kuna mpango uliokuwa umeandaliwa mapema kabla ya kufikiria kusafisha majiji kwa kuwaondoa machinga sehemu walizokuwa wanafanyia biashara ingawa hazikuwa rasmi??
MAMA, WACHAWI UMEWAKUMBATIA MWENYEWE
TOA MAFISADI WOTE WANAO LALAMIKIWA NA WEKA WATENDAJI WASIO JARI MASIRAHI BINAFSI, HAPO MAMBO YAKO YATANYOKA
NAWASILISHA
Ndugu zangu tujiulize haya
1. Je, ni nani anayechelewesha mradi wa bwawa kubwa la umeme la Stigler's Gorge???
2. Je ni nani anayechelewesha ujenzi wa reli ya umeme maarufu wa SGR???
3. Je ni nani anayelihujumu shirika la umeme Tanzania Tanesco hivyo kupelekea uwepo wa mgao wa umeme???
4. Tozo, hizi tozo nani amezileta na faida zake mbona hatuzioni???
5. Mfumko wa bei za bidhaa mbalimbali hapa nchini, nini muafaka??
6. Machinga, kuhamishwa, je kuna mpango uliokuwa umeandaliwa mapema kabla ya kufikiria kusafisha majiji kwa kuwaondoa machinga sehemu walizokuwa wanafanyia biashara ingawa hazikuwa rasmi??
MAMA, WACHAWI UMEWAKUMBATIA MWENYEWE
TOA MAFISADI WOTE WANAO LALAMIKIWA NA WEKA WATENDAJI WASIO JARI MASIRAHI BINAFSI, HAPO MAMBO YAKO YATANYOKA
NAWASILISHA