Mwenye kufahamu hii nguvu ya kiroho inatoka wapi

Ni vigumu sana kuthibitisha ukweli wa visa vya namna hii ambavyo usahihi wake unategemea imani yetu tu kwa msimuliaji,

Kwanini haya matukio yasiwe "objective" kama kuchomoza kwa jua au kuhisi baridi?

Ni vigumu kujua kinachoendelea kwenye ufahamu wa mtu aliyekufa kwa sababu ufahamu ni experience yako(yake) tu

Inawezekana kuwa ufahamu wa binadam unaendelea baada ya kifo, kwa sababu hiii tu moja kuwa ufahamu ni uzoefu wa mtu binafasi,

Ila kuna sababu nyingi za kuamini kuwa hakuna ufahamu wowote baada ya kifo

Kama source ya ufahamu ni ubongo,basi hakuna ufahamu baada ya kifo

Kama hauna kumbukumbu yoyote kabla ya kuzaliwa kwako basi hautakua na kumbukumbu yoyote baada ya kifo chako

At least kila binadamu aliyezaliwa tayari ana experience nzima ya maisha baada ya kifo

Maisha baada ya kifo = Maisha kabla ya kuzaliwa
 
Aisee, Ni mizimu ya kwenu hiyo, hakuna nguvu ya Mungu hapo ni nguvu za Giza hizo, nakosa muda wa kukuandikia , lakin ujue shetan anaweza jibadili pia kuwa malaika wa nuru,

Na pia ujue kuwa hakuna ushirika kati ya walio kufa na walio hai.
Hivyo saut uliyo isikia imebebwa tu lakin sio muhusika anaye ongea.

Niombee nipate muda niombe nipate maandiko nikuwekee hapa, cz muda sio rafiki Sana sikuhiz. Bt kwa Kiasi nimekujibu
 
Aisee, Ni mizimu ya kwenu hiyo, hakuna nguvu ya Mungu hapo ni nguvu za Giza hizo, nakosa muda wa kukuandikia , lakin ujue shetan anaweza jibadili pia kuwa malaika wa nuru,

Na pia ujue kuwa hakuna ushirika kati ya walio kufa na walio hai.
Hivyo saut uliyo isikia imebebwa tu lakin sio muhusika anaye ongea.

Niombee nipate muda niombe nipate maandiko nikuwekee hapa, cz muda sio rafiki Sana sikuhiz. Bt kwa Kiasi nimekujibu
Ulishawahi kusoma Mkasa wa Mfalme Sauli na Nabii Samweli? Samweli akiwa mfu, alizungumza na Sauli kwa mganga wa jadi, sijui unalizungumziaje lile tukio.
 
Kwanza kuhusu kufa na kwenda mbinguni moja kwa moja so kweli labda hukuelewa
Kwa mujibu wa neno la MUNGU kwenye biblia mtu akifa huenda Kati ya sehemu mbili yaani peponi au kuzimu kulingana na uchaguzi aliouchagua yaani kumfuata Yesu Kristo au shetani. ( Luka 23:43, Luka 16:22-31)
Lakini mbinguni tutaenda pale Yesu Kristo atakapokuja siku ya parapanda kuwafufua waliokufa katika Kristo na kuwanyakua wale walio wake (Mathayo 24:31; 1 Wakorintho 15:52; 1 Wathesalonike 4:16)

Halafu swali lako Hilo la namna gani mtu aliyekufa huweza kuongea ?
Soma 1 Samweli 25:1 na 28:3,11,12,14,15,16
Hivyo inawezekana nafsi ya mtu kuamshwa kutoka huko kuzimu. Lakini kumbuka kinachokufa ni mwili Ila nafsi yake na Roho yake havifi.

Lakini kumbuka ili Vilivyopo katika ulimwengu wa Roho viweze kufanya kazi katika ulimwengu huu vinahitaji mwili huu wa nyama. Hivyo Mungu anamtumia mwanadamu aliyemuumba kufanya makusudi yake na kuuneza ufalme wake hapa duniani pia shetani humtumia mwanadamu kuueneza ufalme wake hapa duniani.

Umeshangaa kuona pepo yakiwatumia ndugu zako kuongea na ninyi?
Mbona hata Mungu hutumia wanadamu kuongea na watu.

Labda nikuongezee kitu Cha kukushangaza zaidi. Je unajua kuwa Mungu anaongea na watu wake Kila siku?
Unajua kuwa Kuna watu wanatokewa na Yesu Kristo na Malaika wa Mungu katika ulimwengu huu na hata hapa Tanzania?
(Hili nililoliandika hapa si la kusimuliwa Bali Ni maisha yangu na familia yangu Kila siku)

Ningeweza kuandika mengi lakini yote yapo kwenye biblia. Ukisoma na ukashindwa kuelewa muulize Mungu atakujibu kikubwa muombe akufungulie masikio na macho yako ya rohoni kwa Jina la Yesu Kristo utamsikia tu. ( Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Isaya 1:18)
Mkuu naunga hoja mkono, ila shida kuna mkanganyiko wa wapi mtu(roho/nafsi) anaeenda akifa. Maana kuna mkanganyiko Sana, ndani ya biblia. Jibu siyo Moja kama uliainisha kuwa Kati ya sehemu mbili.
 
Wakuu habari? Naomba nichangie uzoefu wangu nilioushuhudia mwenyewe kwa macho yangu.

Kwenye imani ya Kikristo kuna sehemu imeandikwa" Mtu akifariki haoni, hasikii wala hajui chochote kinachoendelea Duniani" na pia kuna maelezo kwamba unapofariki roho yako inakwenda kwa Mungu moja kwa moja.

Shida yangu ni kwamba, kwenye jamii yetu ya Kihaya kuna kitu wanaita( nchweke) hii ni hali inampata mtu anakuwa kama kapandwa na mashetani lakini inakuwa ni roho ya mtu x aliyeshafariki tayari ambapo mtu huyo anaanza kuongea kwa sauti na rafudhi ya marehemu akikemea au kutoa taarifa ya jambo Fulani.

Nimekuwa nikisikia tu watu wakisimulia hili jambo lakini nikawa naichukulia kama ngano za kiafrika lakini mwaka Jana mwezi wa 12 Babu yetu kipenzi Mzee Cypriani alitutoka. Kama tamaduni zetu zilivyo tulijumuika wote kwenda kijijini kwenye msiba wa Babu hisipokuwa baba Mkubwa ambaye ndo mtoto Mkubwa wa babu alishindwa kufika kwa wakati akipanga kufika mwezi wa kwanza maana kajichimbia machimboni Msumbiji.

Siku ya Mazishi ilipofika tukatoka Malaloni(Makaburini) kumstiri Mzee ile tunafika tu ndani tukiwa kundi kubwa la watu na nyimbo za maombolezo zikitawala gafla Shangazi akadondoka akawa kama amepata kifafa Mara babu Mdogo na baba Mdogo nao wakaanza kama kuweuka. Watu wakaanza kutawanyika ovyoovyo maana ilikuwa ni taflani gafla. Wazee wa ukoo wakakusanyika wakaanza kuchoma majani machanga ya migomba na kuwawekea puani wale waliokabwa na kitu kisichojulikana huku wakiomba kilichowakaba kiongee.
Mara gafla wote watatu wakaanza kuongea kwa pamoja, sauti moja ya babu tuliyetoka kumzika mda huo huo. Akaanza kuwauliza wazee wa ukoo kwamba kwanini wamekubali kumzika bila mtoto wake Mkubwa kufika? Wakajitetea hapo na akawambia siyo kweli kwamba baba Mkubwa hana nauli Bali yuko bize tu na machimbo yake, akasema kabla baba Mkubwa hajafika nyumbani iyo tarehe aliopanga kuja atakuwa ameshamtembelea huko huko msumbiji aliko.

Niachane na iyo stori maana ni ndefu kidogo lakini swali langu ni kitu gani kinatokea kwa watu kama hawa kuweza kupanda juu ya vichwa vya wengine wakati wamekufa tayari? Je roho zao zinakuwa na kitu gani cha kipekee mpaka wawe na uwezo huu maana wengi ni wazee ndo wanaweza kufanya hili.
Ndugu yangu
yawezekana kitu kinachoitwa nchweke hakifahamiki kwa undani katika jamii

tunazo hadithi za kimila zinazoeleza nchweke ni marehemu ayekufa anakuwa anaongea. Yawezekana wazee walihitimisha hivyo kwa uelewa wao wa zamani.

Tunazo hadithi za imani za dini ambazo nazo ni simulizi za zamani kutoka jamii nyingine. Utasikia hapa mtu anakutajia sijui kitabu fulani mstari fulani kinasema hivi sijui nani alikuwa anaongea na nani kupitia njia fulani. Hata hawa yawezekana walitunga hadithi hizo kwa uelewa wao wa siku hizo.

Ninachokielewa ni kwamba maarifa katika dunia hii yanaenda yanaongezeka na hivyo sisi binadamu wa leo tuko katika nafasi ya kufahamu undani wa nchweke ni nini maana yapo mambo mengi yameshatambulika undani wake.

Nimesikitika sana kusikia baba mkubwa wenu alikufa kifo cha ghafla na nyinyi mkiwa mnaamini kilitokana na kutokumzika babu yenu.

Ninachoweza kusema kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya ni kwamba kilichozungumza wala si babu yenu na possibly nyinyi familia kuamini hayo kimepelekea kifo cha baba yenu mkubwa.

Siri ni kwamba haya mambo ya imani unakuta mmekuwa nayo kwenye familia kwa mda mrefu na kama hayakuwepo basi ndo mmeingia.

Suluhisho ni kuyapuuza. kuyapuuza ni kuachana nayo kabisa, siyo kwenda kwa waganga wala kwenye maombi eti kuyatuliza, huko kote ni kuyaendeleza. kuyapuuza ni kwa familia yenu yote, ukiyapuuzia mmoja unaweza kuwa muhanga kwa wewe kupata madhara ili wale wengine waone fulani aliyapuuza na ona yaliyomtokea. Hicho ndicho kilichotukia kwa baba yenu mkubwa, mliyoyaamini ninyi ndiyo yamemletea shida yeye.

Lakini mkikaa kuyaamini yatakaa yakiwatungia masharti, mara mtoto akiugua mnakimbia kwenda kwenye kabuli la babu yenu, mara huyu kapata kile hivyo hivyo.

Achana navyo hivyo ni vitu vinatake advantage ya hayo mazingira tu lakini mkiyapuuza kwa kutofuata wala hamtaviona tena. Kuna familia nyingi wanaishi bila haya mambo na nyinyi mkiamua mtaishi hivyo.
 
Wakuu habari? Naomba nichangie uzoefu wangu nilioushuhudia mwenyewe kwa macho yangu.

Kwenye imani ya Kikristo kuna sehemu imeandikwa" Mtu akifariki haoni, hasikii wala hajui chochote kinachoendelea Duniani" na pia kuna maelezo kwamba unapofariki roho yako inakwenda kwa Mungu moja kwa moja.

Shida yangu ni kwamba, kwenye jamii yetu ya Kihaya kuna kitu wanaita( nchweke) hii ni hali inampata mtu anakuwa kama kapandwa na mashetani lakini inakuwa ni roho ya mtu x aliyeshafariki tayari ambapo mtu huyo anaanza kuongea kwa sauti na rafudhi ya marehemu akikemea au kutoa taarifa ya jambo Fulani.

Nimekuwa nikisikia tu watu wakisimulia hili jambo lakini nikawa naichukulia kama ngano za kiafrika lakini mwaka Jana mwezi wa 12 Babu yetu kipenzi Mzee Cypriani alitutoka. Kama tamaduni zetu zilivyo tulijumuika wote kwenda kijijini kwenye msiba wa Babu hisipokuwa baba Mkubwa ambaye ndo mtoto Mkubwa wa babu alishindwa kufika kwa wakati akipanga kufika mwezi wa kwanza maana kajichimbia machimboni Msumbiji.

Siku ya Mazishi ilipofika tukatoka Malaloni(Makaburini) kumstiri Mzee ile tunafika tu ndani tukiwa kundi kubwa la watu na nyimbo za maombolezo zikitawala gafla Shangazi akadondoka akawa kama amepata kifafa Mara babu Mdogo na baba Mdogo nao wakaanza kama kuweuka. Watu wakaanza kutawanyika ovyoovyo maana ilikuwa ni taflani gafla. Wazee wa ukoo wakakusanyika wakaanza kuchoma majani machanga ya migomba na kuwawekea puani wale waliokabwa na kitu kisichojulikana huku wakiomba kilichowakaba kiongee.
Mara gafla wote watatu wakaanza kuongea kwa pamoja, sauti moja ya babu tuliyetoka kumzika mda huo huo. Akaanza kuwauliza wazee wa ukoo kwamba kwanini wamekubali kumzika bila mtoto wake Mkubwa kufika? Wakajitetea hapo na akawambia siyo kweli kwamba baba Mkubwa hana nauli Bali yuko bize tu na machimbo yake, akasema kabla baba Mkubwa hajafika nyumbani iyo tarehe aliopanga kuja atakuwa ameshamtembelea huko huko msumbiji aliko.

Niachane na iyo stori maana ni ndefu kidogo lakini swali langu ni kitu gani kinatokea kwa watu kama hawa kuweza kupanda juu ya vichwa vya wengine wakati wamekufa tayari? Je roho zao zinakuwa na kitu gani cha kipekee mpaka wawe na uwezo huu maana wengi ni wazee ndo wanaweza kufanya hili.
Hii kitu mi mwenyewe inanitokeaga, nikauliza baadhi ya watu wengine wakasema mapepo ukaombewe lkn wakasema magumu kutoka na pengine yasitoke kwasababu ni nguvu ya mizimu
Swali ninalojiuliza, hii kitu ina madhara gani kwa muhusika na je, imani yake juu ya Mungu inakuwa batili? kwasababu wànasema nguvu iliyo ndani yake inakinzana na nguvu ya Mungu
 
Nimetuma hiyo attachment lakini sijajua huwa inafunguliwaje maana sio mzoefu sana, na kila niki bonyeza naona inanipeleka kwenye home page ya JF lakini kwa ufupi naomba nikujibu kama ifuatavyo.

Kwanza inabidi utambue kuwa kuna aina kama tatu za nguvu za imani zinazooperate katika ulimwengu wa kiroho na hizi ndio zinazoongoza matukio yanayofanyika mwilini. Na binadamu sisi katika njia moja au nyingine tunahusiana nazo kwa kujua au bila kujua.
Na nguvu hizo za imani ni kama vile,
1. Satanist( Hii ni nguvu ya imani inayotokana na uchifu, mizimu ya ukoo na mababu na uganga wote wa kienyeji na kuagua na uchawi uko hapa na hicho kilichotokea kwa hao baba wadogo kiko hapa hizo tunaita roho zinazofatilia (mikuri na mahurunat) Sio babu huyo yeye tayari yupo somewhere else ila hizi ni roho zinazofatilia mateso na vifungo vya ukoo uzuri na mimi ni kabila hilo na hicho kitu sio kigeni kwangu na mara nyingi huwa wanayauliza tufanye nini ili hali itulie yanatoa masharti na yakifuatwa hali huwa shwari ingawa inakuwa ni namna fulani ya utumwa kwa kabila au ukoo husika na hufanya hivi makusudi ili yaendelee kutambulika na kutambikiwa katika kila kizazi hata kama wahusika waliyoyakaribisha wameshakufa,ila mwanzoni sikuelewa mpaka nilipoanza kuchimba kutafuta ukweli wa mambo na nikawaletea sehemu kidogo sana ya nilicho nacho.na aina hii ya nguvu za imani imeenea sana Africa na Asia
2. Satans (Hawa ndio wengine huwaita devil worshippers ni wanadamu wenzetu kabisa lakini kwa sababu mbali mbali wao wamejitolea kikamilifu kuwa waabudu shetani kwa asilimia mia hawa hawaruki na ungo hawawangi uchi usiku hawana matunguri wala hirizi, wao ni wachawi wa high level unakuta kapiga suti yake safi huku anasukuma v8 yake, kinachowapa nguvu sana kuliko Satanists ni mkataba walioingia katika kumtumikia shetani kama mungu wao na hivyo kupokea uwezo wake moja kwa moja bila kutumia tunguli, na aina hii ya nguvu ya imani imeenea sana katika nchi za ulaya na marekani
3. Kafiruna (Mtanisamehe wakristo wenzangu maana sijapata tafsiri ya neno hili lakini nitalielezea kwa jinsi ya maarifa niliyonayo ila hii ndio nguvu inayotokana na Jina la Yesu na wenye imani hii .

Na katika viwango vya uwezo uSatans unanguvu kuliko uSatanist na Kafiruna ipo ontop of all.(msininukuu vibaya sijaegamia upande wowote mi nasema ninachokijua)

Ikumbukwe kuwa Satanist na Satans zinahusiana kwa namna fulani kwa sababu ya originality kwa kuwa zote zinatoka kwa ancestor mmoja aliyejulikana kama Lucifer.

Ila ya kafiruna ipo tofauti na ni kinyume cha hizo zote mbili na kama nilivyosema ndio yenye nguvu kushinda zote kwa sababu ina originality ya muumbaji wa vyote mwenye uweza wote .

Kuna elimu sana pana hapo kwanini iwe hivyo lakini nipende kuishia hapo labda kama kutakuwa na swali unaweza uliza, lakini kuhusu wafu wanapoenda nimetuma video attachment sijui huwa mnafunguaje lakini na penyewe kuna elimu nzito kidogo, ila kwa ufupi kinachokufa ni mwili na mtu sio mwili, ila ni Nafsi hai inayoishi ndani ya mwili wa udongo, lakini wakristo wenzangu wamefundishwa na kuaminishwa mtu ni mwili kitu ambacho si kweli mwili ni nyumba tu ambayo mpangaji wake mmiliki anaweza kuishi humo au nje ya humo na ndio maana Satanist na Satans wanaonekana kimtazamo ingawa sio uhalisia wananguvu kuliko wakristo ni kwa sababu wanaelewa mtu ni nani roho nini na nafsi ni nini kitu ambacho wakristo wengi hawafahamu, naomba niishie hapa kwa sasa kama nitakuwa na muda tutaendelea ila kama utakuwa na swali au dukuduku usisite kuuliza.
 
Unad
Kwanza kuhusu kufa na kwenda mbinguni moja kwa moja so kweli labda hukuelewa
Kwa mujibu wa neno la MUNGU kwenye biblia mtu akifa huenda Kati ya sehemu mbili yaani peponi au kuzimu kulingana na uchaguzi aliouchagua yaani kumfuata Yesu Kristo au shetani. ( Luka 23:43, Luka 16:22-31)
Lakini mbinguni tutaenda pale Yesu Kristo atakapokuja siku ya parapanda kuwafufua waliokufa katika Kristo na kuwanyakua wale walio wake (Mathayo 24:31; 1 Wakorintho 15:52; 1 Wathesalonike 4:16)

Halafu swali lako Hilo la namna gani mtu aliyekufa huweza kuongea ?
Soma 1 Samweli 25:1 na 28:3,11,12,14,15,16
Hivyo inawezekana nafsi ya mtu kuamshwa kutoka huko kuzimu. Lakini kumbuka kinachokufa ni mwili Ila nafsi yake na Roho yake havifi.

Lakini kumbuka ili Vilivyopo katika ulimwengu wa Roho viweze kufanya kazi katika ulimwengu huu vinahitaji mwili huu wa nyama. Hivyo Mungu anamtumia mwanadamu aliyemuumba kufanya makusudi yake na kuuneza ufalme wake hapa duniani pia shetani humtumia mwanadamu kuueneza ufalme wake hapa duniani.

Umeshangaa kuona pepo yakiwatumia ndugu zako kuongea na ninyi?
Mbona hata Mungu hutumia wanadamu kuongea na watu.

Labda nikuongezee kitu Cha kukushangaza zaidi. Je unajua kuwa Mungu anaongea na watu wake Kila siku?
Unajua kuwa Kuna watu wanatokewa na Yesu Kristo na Malaika wa Mungu katika ulimwengu huu na hata hapa Tanzania?
(Hili nililoliandika hapa si la kusimuliwa Bali Ni maisha yangu na familia yangu Kila siku)

Ningeweza kuandika mengi lakini yote yapo kwenye biblia. Ukisoma na ukashindwa kuelewa muulize Mungu atakujibu kikubwa muombe akufungulie masikio na macho yako ya rohoni kwa Jina la Yesu Kristo utamsikia tu. ( Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Isaya 1:18)
Unadanganya watu kuhusu kifo,
 
Watu hawaelewi haya mambo Mimi ni mhaya naomba kueleza kidogo, mizimu ipo na Ina nguvu Sana, sitaki kuifananinisha na Mungu , nitakufuru , lakini kabla ya kuja kwa dini hizi za kigeni mizimu iliabudiwa, kiufupi yenyewe hufuatilia mambo yanavyokwenda kwenye ukoo, na sio kwamba ni ngu ya shetani , hapana ile Mimi naamini binadamu hafi kabisa, ni mwezi mmoja umepita kijijini kwetu Kuna mzee alifariki muda mrefu , Sasa vijana wa ukoo ule wakaoa baadhi wake zao ni wachawi ,Tena mmoja ni mchawi hata Kijiji kizima kinajua na hata kule alikotoka anajulikana, baada ya miaka kadhaa mzimu ukamkamata Binti ambaye ni mjukuu wa yule mzee ! Sasa kilichotoekea ilikuwa timbwili , akawa Binti anaongea sauti ya mzee anasema mke fulani ameniharibia mji ni mchawi anataka kuwaua vijana wangu wote , na kweli Kuna vijana wawili walifariki mazingira ya utata Sana mmoja Alicia ziwa Victoria mpaka Leo mwili haukuonekana kumbe huyo mama ndo alimchukua kiuchawi , baadae yule Binti sauti ikawa ya yule mama Sasa akaanza kuomba msamaha akataja watu alioua na mipango yake mingine

Mama yule , baada ya tukio , kikao kikafanyika akakili kabisa na kusema hatarudia , lakini mzimu ulikuwa umesisitiza aondoke siku hiyohiyo bila kuchelewa
Ukoo wakamfukuza, kwa ufupi mizimu ya kihaya ni mizuri Sana ndo maana sio rahisi kumdhuru mhaya ambaye mizimu yake ni mikali ndi maana pia kwa wahaya hakuna waganga , wametokea hivi karibuni baada ya watu kushindaa kufuatilia mizimu , in short mimi tangu nakua mpaka Leo sikuwahi kuona mganga lakini nilikuwa nakingwa Sana katika matukio mengi mpaka mwenyewe nasema labda mizimu

Ikitokea mtu mbaya amekuja kwenye ukoo wa wahaya wenye mizimu inayofuatiliwa vizuri hawezi kukaa hata sekunde

Hivyo naona Kuna jambo wahaya tunalo nadhani watu wa Imani waende kule wafanye tafiti
 
Ikumbukwe mizimu ya buhaya ni tofauti kabisa na mizimu ya makabila mengine hata matambiko yalikuwa tofauti Sana , mizimu ya wahaya Inafanana Sana na ya Waganda kwa asilimia 100,

Na mizimu ya wahaya ina Koo maalumu na Ina miiko maalum, kama Kuna mtu amewahi kufika kwenye eneo la makazi ya Kabaka kule Uganda , nadhani alijifunza mengi kuhusu mizimu

Mizimu ni roho zinaishi na zinasaidia Sana Koo zao kuziepusha na majanga au matatizo na watu wabaya

Sasa kwa hiyo mzee Cyprian ni kwamba ilikuwa ni lazima mtoto wake mkubwa awepo amzike baba yake , kwa ufupi mizimu Ina wivu Sana na inapenda Sana utaratibu ,

Iliona amekaidi na ingekuwa Hana nauli au alternative ya kufika kumzika Wala isingemzuru lakini ilikuwa inaona kila kitu anachofanya na inajua kabisa alikuwa anaweza kufika ikabidi kumuadhibu,
Pia mizimu ya kihaya ni mikali saaana,

Mizimu Irungu , mfano au Mugasha , Mugasha ni mzimu wa maji / ziwa huu mzimu unaweza kumtembeza mtu kupita ziwa Victoria mpaka Bukoba juu ya maji bila ye kujua , mifano ninayo, pia ilungu ni mizimu ya pori / uwindaji hii Kuna mtu nilishuhudia anaingia kwenye moto wa Kuni nyingi Sana bila yeye kujua nilidhani atatoka mifupa tu lakini alitoka mzima bila kuungua hata shati , hapo ni mizimu ikiwa imekasirika labda Kuna jambo sio sawa kwenye ukoo
 
Kimsingi hakuna anayejua mtu akifa nini hutokea. Hata hizi dhana za jehanamu na mbinguni ni dhana tu za kutunga.

Binafsi naamini binadamu hafi. Ila ana badilika kutoka ubinadamu kuwa kitu kingine ambacho ni superior zaidi ya binadamu. Yaani ni kama ame graduate.

Hiki kiumbe kipya kimepewa majina tofauti kama mzimu, roho etc.

Ndo maana kabla ya hizi dini za kisasa kuingia, babu zetu walikuwa na mila zao kuelezea dhana hii. Ndo maana walitambika, waliomba mvua na mambo mbalimbali na yakatokea.
ww tunatakiwa kukufanyia maomb ya kufungua ufahamu mtumishi okoka
 
Ikumbukwe mizimu ya buhaya ni tofauti kabisa na mizimu ya makabila mengine hata matambiko yalikuwa tofauti Sana , mizimu ya wahaya Inafanana Sana na ya Waganda kwa asilimia 100,

Na mizimu ya wahaya ina Koo maalumu na Ina miiko maalum, kama Kuna mtu amewahi kufika kwenye eneo la makazi ya Kabaka kule Uganda , nadhani alijifunza mengi kuhusu mizimu

Mizimu ni roho zinaishi na zinasaidia Sana Koo zao kuziepusha na majanga au matatizo na watu wabaya

Sasa kwa hiyo mzee Cyprian ni kwamba ilikuwa ni lazima mtoto wake mkubwa awepo amzike baba yake , kwa ufupi mizimu Ina wivu Sana na inapenda Sana utaratibu ,

Iliona amekaidi na ingekuwa Hana nauli au alternative ya kufika kumzika Wala isingemzuru lakini ilikuwa inaona kila kitu anachofanya na inajua kabisa alikuwa anaweza kufika ikabidi kumuadhibu,
Pia mizimu ya kihaya ni mikali saaana,

Mizimu Irungu , mfano au Mugasha , Mugasha ni mzimu wa maji / ziwa huu mzimu unaweza kumtembeza mtu kupita ziwa Victoria mpaka Bukoba juu ya maji bila ye kujua , mifano ninayo, pia ilungu ni mizimu ya pori / uwindaji hii Kuna mtu nilishuhudia anaingia kwenye moto wa Kuni nyingi Sana bila yeye kujua nilidhani atatoka mifupa tu lakini alitoka mzima bila kuungua hata shati , hapo ni mizimu ikiwa imekasirika labda Kuna jambo sio sawa kwenye ukoo
Duu hataree
 
Kwanza kuhusu kufa na kwenda mbinguni moja kwa moja so kweli labda hukuelewa
Kwa mujibu wa neno la MUNGU kwenye biblia mtu akifa huenda Kati ya sehemu mbili yaani peponi au kuzimu kulingana na uchaguzi aliouchagua yaani kumfuata Yesu Kristo au shetani. ( Luka 23:43, Luka 16:22-31)
Lakini mbinguni tutaenda pale Yesu Kristo atakapokuja siku ya parapanda kuwafufua waliokufa katika Kristo na kuwanyakua wale walio wake (Mathayo 24:31; 1 Wakorintho 15:52; 1 Wathesalonike 4:16)

Halafu swali lako Hilo la namna gani mtu aliyekufa huweza kuongea ?
Soma 1 Samweli 25:1 na 28:3,11,12,14,15,16
Hivyo inawezekana nafsi ya mtu kuamshwa kutoka huko kuzimu. Lakini kumbuka kinachokufa ni mwili Ila nafsi yake na Roho yake havifi.

Lakini kumbuka ili Vilivyopo katika ulimwengu wa Roho viweze kufanya kazi katika ulimwengu huu vinahitaji mwili huu wa nyama. Hivyo Mungu anamtumia mwanadamu aliyemuumba kufanya makusudi yake na kuuneza ufalme wake hapa duniani pia shetani humtumia mwanadamu kuueneza ufalme wake hapa duniani.

Umeshangaa kuona pepo yakiwatumia ndugu zako kuongea na ninyi?
Mbona hata Mungu hutumia wanadamu kuongea na watu.

Labda nikuongezee kitu Cha kukushangaza zaidi. Je unajua kuwa Mungu anaongea na watu wake Kila siku?
Unajua kuwa Kuna watu wanatokewa na Yesu Kristo na Malaika wa Mungu katika ulimwengu huu na hata hapa Tanzania?
(Hili nililoliandika hapa si la kusimuliwa Bali Ni maisha yangu na familia yangu Kila siku)

Ningeweza kuandika mengi lakini yote yapo kwenye biblia. Ukisoma na ukashindwa kuelewa muulize Mungu atakujibu kikubwa muombe akufungulie masikio na macho yako ya rohoni kwa Jina la Yesu Kristo utamsikia tu. ( Haya, njoni, tusemezane, asema Bwana. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.

Isaya 1:18)
Kama unaongeaga na Mungu basi mwambie anitokee na mimi
 
Hakuna mizimu ya mtu, mtu akifa ankwenda kuzimu aubparadiso, zinazojifanay ni mzimu ya mtu ni mapepo( mashetani) ili kuwadanganya watu na kuwaweka kwenye hofu
 
Mzee wenu alikuwa na majini/mizimu.

Ndio yanataka mrithi..

Binadamu binafsi hawezi fanya mambo hayo, ni majini ya huyo mzee ndo yanaongea na kutenda kazi, na yanataka mrithi wa mikoba hiyo.
🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom