Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,072
- 2,306
Ni vigumu sana kuthibitisha ukweli wa visa vya namna hii ambavyo usahihi wake unategemea imani yetu tu kwa msimuliaji,
Kwanini haya matukio yasiwe "objective" kama kuchomoza kwa jua au kuhisi baridi?
Ni vigumu kujua kinachoendelea kwenye ufahamu wa mtu aliyekufa kwa sababu ufahamu ni experience yako(yake) tu
Inawezekana kuwa ufahamu wa binadam unaendelea baada ya kifo, kwa sababu hiii tu moja kuwa ufahamu ni uzoefu wa mtu binafasi,
Ila kuna sababu nyingi za kuamini kuwa hakuna ufahamu wowote baada ya kifo
Kama source ya ufahamu ni ubongo,basi hakuna ufahamu baada ya kifo
Kama hauna kumbukumbu yoyote kabla ya kuzaliwa kwako basi hautakua na kumbukumbu yoyote baada ya kifo chako
At least kila binadamu aliyezaliwa tayari ana experience nzima ya maisha baada ya kifo
Maisha baada ya kifo = Maisha kabla ya kuzaliwa
Kwanini haya matukio yasiwe "objective" kama kuchomoza kwa jua au kuhisi baridi?
Ni vigumu kujua kinachoendelea kwenye ufahamu wa mtu aliyekufa kwa sababu ufahamu ni experience yako(yake) tu
Inawezekana kuwa ufahamu wa binadam unaendelea baada ya kifo, kwa sababu hiii tu moja kuwa ufahamu ni uzoefu wa mtu binafasi,
Ila kuna sababu nyingi za kuamini kuwa hakuna ufahamu wowote baada ya kifo
Kama source ya ufahamu ni ubongo,basi hakuna ufahamu baada ya kifo
Kama hauna kumbukumbu yoyote kabla ya kuzaliwa kwako basi hautakua na kumbukumbu yoyote baada ya kifo chako
At least kila binadamu aliyezaliwa tayari ana experience nzima ya maisha baada ya kifo
Maisha baada ya kifo = Maisha kabla ya kuzaliwa