johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,623
- 141,454
Ni kitabu cha miaka ya 80s kikiwa katika mtindo wa picha za kuchora yaani katuni.
Aliyebahatika kuwa nacho hata sasa nakihitaji kwa ajili ya kujikumbusha mambo fulani ili kuepukana na matapeli ambao bado wapo hata sasa.
Ramadhan Kareem!
Aliyebahatika kuwa nacho hata sasa nakihitaji kwa ajili ya kujikumbusha mambo fulani ili kuepukana na matapeli ambao bado wapo hata sasa.
Ramadhan Kareem!