Mwenye Kijiko cha kupakilia mchanga...kazi ipo

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
1,293
578
Wadau,

Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina kirefu hakipungui mita moja na nusu. Mchanga ni mzuri mweupe, watujazie wa mchanga wapo wengi.

Vibali vyote vipo.

Piga au whatsapp 0625249605 Mzee Abdul kwa maelezo zaidi.
 
Wadau,

Yeyote mwenye kijiko cha kupakilia mchanga kwenye malori, ipo kazi hapa kwetu Misugusugu, Kibaha. Kazi itadumu kwa miezi miwili au zaidi kwa kupakilia eka mbili au zaidi za mchanga, kina kirefu hakipungui mita moja na nusu. Mchanga ni mzuri mweupe, watujazie wa mchanga wapo wengi.

Vibali vyote vipo.

Piga au whatsapp 0625249605 Mzee Abdul kwa maelezo zaidi.
Ntakuku pm namba ya jamaa mmja anayo mashine Yuko moro lkn

Ova
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom