Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Nimeona watu wakilalamika sana kuhusiana na suala zima la kuibiwa muda wa maongezi au transaction wanazozifanya kupitia mitandao mbalimbali hapa nchini, na pindi wanapotafuta mtu wa kuweza kuwatatulia tatizo hili wanaishia kupigwa danadana .
Sasa kama ulikuwa hujui mtu mwenye uwezo wa kushughulikia suala hili, basi ni TCRA kwani hawa ndio wanaowajibika kwa suala zima linalohusiana na mfumo mzima wa mawasiliano na wapo pale kwa ajiri yetu.
Sasa kama ulikuwa hujui mtu mwenye uwezo wa kushughulikia suala hili, basi ni TCRA kwani hawa ndio wanaowajibika kwa suala zima linalohusiana na mfumo mzima wa mawasiliano na wapo pale kwa ajiri yetu.