NCP 65 NINAYO, KWA MJINI INATUMIA KM 11-12/LITA NA KWA HIGHWAY NI KM 16 ,PIA KWA KUWA INADRIVE TAIR ZOTE 4 KWA WAKATI MMOJA UKIWASHA AC NGUVU YAKE INAPUNGUA KIDOGOOHello wadau.
Kwa yeyote mwenye Toyota IST yenye '4WD'... ama aliyewahi kutumia IST yenye '4WD'... Fuel consumption ipoje? Tupeni uzoefu.
-Kaveli-
Ila highway kako stable ukilinganisha na NCP 60 NA 61NNCP 65 NINAYO, KWA MJINI INATUMIA KM 11-12/LITA NA KWA HIGHWAY NI KM 16 ,PIA KWA KUWA INADRIVE TAIR ZOTE 4 KWA WAKATI MMOJA UKIWASHA AC NGUVU YAKE INAPUNGUA KIDOGOO
NNCP 65 NINAYO, KWA MJINI INATUMIA KM 11-12/LITA NA KWA HIGHWAY NI KM 16 ,PIA KWA KUWA INADRIVE TAIR ZOTE 4 KWA WAKATI MMOJA UKIWASHA AC NGUVU YAKE INAPUNGUA KIDOGOO
Hello wadau.
Kwa yeyote mwenye Toyota IST yenye '4WD'... ama aliyewahi kutumia IST yenye '4WD'... Fuel consumption ipoje? Tupeni uzoefu.
-Kaveli-
Kwani mkuu hiyo 4WD yake inatumika muda wote? Mi nilidhani ni option kwamba usipoengage, gari inaperform as 2WD .. kama ni hivyo consumption itakua kawaida unless muda ambao utakua umeopt hiyo 4WD
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, IST yenye'4WD' ni full time 4wd, sio optional.
-Kaveli-
4WD ya IST ni full time, muda woteOk asante mkuu but navojua full time inaitwa AWD, 4WD ni option ndo maana nikauliza kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok asante mkuu but navojua full time inaitwa AWD, 4WD ni option ndo maana nikauliza kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu anaanzaje kua na hofu ya fuel consumption kwa gari yenye 1490 CC? Au anataka awe anaweka mafuta ya 10,000 atembee km 100?Ahsante sana bro. Nimeuliza hili kwasababu nimekuwa nikisikia kuwa IST yenye '4WD' inakula sana fuel.
Kuna jamaa yangu anataka kuchukua IST yenye 4WD coz kazi zake nyingi ni sehemu za tope, ila anahofu fuel consumption.
-Kaveli-
Hivi mtu anaanzaje kua na hofu ya fuel consumption kwa gari yenye 1490 CC? Au anataka awe anaweka mafuta ya 10,000 atembee km 100?
Lakini ni jambo la kawaida sana kwa gari yenye 2000 CC na 4WD kua inatumia 8-9 km/L kuwepo au kutokuwepo 4WD hakuwezi kua na tofauti kubwa sanaKwakweli umeongea hoja ya msingi.
Walio wengi wanakimbilia kununua gari wakati kiuhalisia Wanakuwa bado hawajawa na financial capacity ya kumiliki gari.
Lakini pia, hoja yako haiondoi fact kwamba kwenye gari kuna factors ambazo zaweza changia gari ikawa/isiwe na economy fuel consumption. Factor mojawapo ni kuhusu 4WD. Nadhani tujikite kwenye hoja hii.
-Kaveli-
Lakini ni jambo la kawaida sana kwa gari yenye 2000 CC na 4WD kua inatumia 8-9 km/L kuwepo au kutokuwepo 4WD hakuwezi kua na tofauti kubwa sana
Lita 1 ya mafuta kwa kilomita 10-12Hello wadau.
Kwa yeyote mwenye Toyota IST yenye '4WD'... ama aliyewahi kutumia IST yenye '4WD'... Fuel consumption ipoje? Tupeni uzoefu.
-Kaveli-
Kwa kweli mkuu mimi 4WD natumia kwenye 4x4 sidhani kama inaongeza perfomance maana 4WD inaongeza nguvu kwenye uvutano wa matairi mfano 2WD zingine nguvu ipo kwenye matairi ya mbele ukiwasha 4WD inaaqnza tumia na matairi ya nyuma piaThanks mkuu. Hapo nimekusoma.
Afu hebu nambie, eti full time 4wd inaongeza performance kwenye speeding? Ama haina uhusiano na speeding?
-Kaveli-
Kwa kweli mkuu mimi 4WD natumia kwenye 4x4 sidhani kama inaongeza perfomance maana 4WD inaongeza nguvu kwenye uvutano wa matairi mfano 2WD zingine nguvu ipo kwenye matairi ya mbele ukiwasha 4WD inaaqnza tumia na matairi ya nyuma pia
Sio full time mkuu,ina engage inapo sense slip kwa front tires4WD ya IST ni full time, muda wote