Bila kusahau Ile laini aloimbatafuta wimbo wake wa historia,nadhani ameelezea kila kitu humo ndani mkuu kuhus maisha...yake kiufupi.kuna sehemu anakwambia...nawajua wadada kabla sijatahir,,,iwana miaka kama saba kitaani nasujudiwa nilikuwa mafya ninja usiombe nikukute na mazaga yote lazima nikombe......nmekupa kidogo tu tafuta wimbo mzima mkuu youtube.
alisema asernal ikifungwa bas anachoma gari yake live, ila baada ya mechi alilia lia sanaNingependa kujua hata kidogo historia ya huyu msanii....nimeanza kumsikia miaka ya 2003 na ngoma yake kali sana aliyowashirikisha mandojo na domo kaya___kazi yake mola
Unaulizwa kingne unajibu kingne ndo maana tunafeli mitihanialisema asernal ikifungwa bas anachoma gari yake live, ila baada ya mechi alilia lia sana
Masai akaja ikawa vita ya visuuBila kusahau Ile laini aloimba
"Hawa jamaa Ni Makuuu....., Malizia na Ma, badala ya kuiba moja wao wanaleta Tamaa"..
Mkuu pita kwa Mangi uchukue Malt ya Azam carton moja ntalipa madee akinipa HELAMasai akaja ikawa vita ya visuu
Sampamba aka ded rext in pc and i mc you.......
hahahah jaman nayo ni sehem ya historiaUnaulizwa kingne unajibu kingne ndo maana tunafeli mitihani
Bora kaangukia penye muziki sijui huko Argentina na midizini pangekuwaje au angekuwa kesha chomwa motoUkisikiliza wimbo wake wa historia utagundua jamaa alikuwa mwizi sugu