MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 937
- 1,566
- Thread starter
- #21
ha ha haAnataka kufika Mombasa mara moja na kurudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haAnataka kufika Mombasa mara moja na kurudi.
kuna watu wanaleta mzaha umu kiasi cha kuogopesha wenye nia thabiti ya kunipa,nimeondosha hofu kwao kwamba niko tayari kuwa na mmiliki kipindi nafanya program zangu ili aone nafanya ninikama upo makini utapata mchuma mkuu,,ondoa shaka
Tahira weweKwa Nini usiende kukodi kampuni za tours jambazi wewe mbona ziko kibao kwa Nini unataka kwa watu binafsi
Utamkaba nenda kampuni za tours kakodi hukokuna watu wanaleta mzaha umu kiasi cha kuogopesha wenye nia thabiti ya kunipa,nimeondosha hofu kwao kwamba niko tayari kuwa na mmiliki kipindi nafanya program zangu ili aone nafanya nini
Watakao kupa hiyo gari ndio mataahira wakubwa jambazi wa kuiba nagari wewe Koma kuja jamii forums kutafuta watu wa kuwapora magariTahira wewe
Jambazi la magari Hilo linataka kutokomea na Hilo gari gizani
Kaka mbona ni mtu wa hovyo sana,kwanini?Comments zako nyingi ni za kipumbavu,kila ninapokusoma huwa unanikera sana halafu eti nawewe ni think tank wa lumumba,daah
Kwa Nini usiende kukodi kampuni za tours jambazi wewe mbona ziko kibao kwa Nini unataka kwa watu binafsi
Tahira wewe
Watakao kupa hiyo gari ndio mataahira wakubwa jambazi wa kuiba nagari wewe Koma kuja jamii forums kutafuta watu wa kuwapora magari
kwamba leo hawajalipwa buku 7?
Daaah Watu wenye stress UTAWAJUA TU
Weakend akuna ofisi inafanya kazi unataka kutekea watu? Kwanin? Utafte magari yenye speed!!! Acha mambo yenu ayo kutekana tekana sio vizuri km vp kanunue show room.
Mbona hayo magari mtoa mada aliyoyataja hayana mbio za maana,ni ya kawaida tu road.umetaka magari magumu na yenye kukimbia speed kali ajili ya nini
Kila mtu na mtazamo wake mkuuMbona hayo magari mtoa mada aliyoyataja hayana mbio za maana,ni ya kawaida tu road.
Sawa mkuu.Kila mtu na mtazamo wake mkuu