Mwenye digrii za Marketing kibao anashindwaje kujua exchange rate kwenye interview ya exporting company inayohitaji Export marketing director?

Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Wengi wa wale wanaojiita wasomi huwa hawana muda wa kupitia interview technique, Export marketing Director, exchange ni lazima uitarajie, uta export nini kama hujui exchange rates? Na siyo tu exchange rates walipaswa kujua na currencies mbalimbali zile ambazo ni common kwenye export.
Mimi ukishaniita kwenye interview lazima kwanza nikutafute niione website yako ni aangalie vitu muhimu kama Our People, Vision, Mission nk. From there narudi kwenye comon interview questions napita nazo kama mia hivi, Naangalia watu kama Indeed huwa wanahitaji nini zaidi, naangalia tena watu LinkedIn .
 
Bulllshit kawaulizeni fx traders sasa hao kuajiriwa hawatakagi maana wanapenda uhuru
 
huko ni kukomoana ndugu kua vitu viko automated kwa kwa ajili ya mambo hayo ku monitor exchange rate , and a perfect employee does not exist, hapo hapo kwenye hiyo field yako hata mimi nawea kukufanyia interview na usipate hata 10%
Huyo mwomba kazi aende huko automated online mitandaini kabla kuingia interview aje na jibu
 
Wengi wa wale wanaojiita wasomi huwa hawana muda wa kupitia interview technique, Export marketing Director, exchange ni lazima uitarajie, uta export nini kama hujui exchange rates? Na siyo tu exchange rates walipaswa kujua na currencies mbalimbali zile ambazo ni common kwenye export.
Mimi ukishaniita kwenye interview lazima kwanza nikutafute niione website yako ni aangalie vitu muhimu kama Our People, Vision, Mission nk. From there narudi kwenye comon interview questions napita nazo kama mia hivi, Naangalia watu kama Indeed huwa wanahitaji nini zaidi, naangalia tena watu LinkedIn .
Uko vizuri sana mkuu uko right asilimia 100
 
Miaka michache (chini ya 5) iliyopita, nilikua nahitaji kijana msomi na makini mno ili asimamie biashara yangu mpya. Niliwafanyia interview graduates 32 na sikupata mtu. Mama yangu akaniambia tafuta chuo chochote Dar, ulizia mwalimu wao wa biashara, mwambie nature ya biashara yako, muombe akupe wanafunzi waliomaliza ambao anaona watafaa kwa biashara yako. Alafu muahidi akikupatia mtu sasa, utamlipa laki 2.

Nilifanya hivyo, nikatanguliza 50. Huyo mwalimu alisema anae mtu ila alikua ana mreserve kwa ajili ya project yake mwenyewe. Alinipa namba siku hio hio, nikamfanyia interview kesho yake, na kumpa ajira bila hata kuona hio degee yake. Alikua ni kijana sahihi sana kwa biashara yangu, na yeye nikampa jukumu ya kutafuta wasaidizi wake wa ngazi za chini. Hamna pesa niliyowahi kuitumia vizuri kama hio laki 2 .

Katika hii miaka 10 iliyopita, mie binafsi nimeshawanyia interview vijana zaidi ya 700, nafasi tofauti tofauti, kati ya hao, graduates zaidi ya nusu, na kati ya hao, walioweza kupata ajira, hawazidi 20. Tatizo kubwa ni vijana hawajiongezi, hawaendi the extra mile required, uaminifu ni tatizo kubwa mno, hawasomi vitabu au majarida kuona dunia inaendaje kwa sasa, kuna university of 'utube', ni bureeee ila vijana wako busy kuona diamond kazaa na nani, tako la bby mama wake ni lake au kigodoro, na vyote hivyo vinatumia bando. Ukienda nchi jirani tu hapo, unaweza kua na nafasi 2 ila wanaofaa hio nafasi zaidi ya 15, unachanganyikiwa umuache nani, umchukue nani. Ila hapa nyumbani, kuna tatizo kubwa mno la vijana wetu kwenye issue ya interviews na ajira kwa ujumla.
uaminifu ni tatizo sana kuna kijana nilimuajiri akawa kaniibia kama mara kumi hivi hizi elfu 70 au siku nyingine elfu 40 nikamuonya mara kama 15 hivi siku tofauti hakusikia nikawa nahofia atanipiga pakubwa nikafukuza na watu nnao waajiri kwenye business zangu huwa nawalipia hadi rent ya kuanzia maisha na kitanda na godoro nawapa ila vijana wa kibongo ni useless kwenye uaminifu saizi nimetafuta wenye elimu ya chini kidogo na maisha yaliwapiga naona tunaenda vizuri
 
Swali la mnyama kwenye noti ya 10,000 jibu lilikuwa na marks 70 hili la exchange jibu lake lilikuwa na marks 60... 😂 hii interview ilikuwa na marks 1,000!

Kwani anaomba u director wa Forex?? Exchange rate haziko fixed hakuna kazi hapo, interview za kumpa mtu fulani kazi siyo kila mtu!

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Wengi humu hawajui maan ya interview kabisa afu unakuta ni wasomi. Interview haibase kweny ulichosoma kweny vitini peke ake. Muajiri yoyote anapenda sharp mind zaidi. Em fikiria kwa mfano kweny field ya umeme kuna sehemu watu walikutana na swali la mtego sana na walishindwa hawa ndo wabongo. Motor inakuwaga imeandikwa aina yake na uwezo wake kweny motor pale pale. Mtu akaulizwa nkitaka ninunue motor ya aina fulani akaoneshwa ntafanyaje? Msomi wetu akaanza ooh ntafungua ntapima sijui vitu gani kwasababu ya kukariri vitini. Kumbe jibu ni jepesi tu ntasoma zile particulars basi ntaenda dukani.
 
Huyo mwomba kazi aende huko automated online mitandaini kabla kuingia interview aje na jibu
mfano ndo ivo unakuja kweye interview, alafu nikuulize bei ya ounce moja ya gold leo kwenye soko la dunia umeuzwa shingapi? utajibu nn?? na ni kitu ulikua hutegemei, wakati ni kitu unawea google dk 0 tu ukapata majibu, tuache akili za kizamani jamani
 
Uongo huo
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
 
Swali la mnyama kwenye noti ya 10,000 jibu lilikuwa na marks 70 hili la exchange jibu lake lilikuwa na marks 60... hii interview ilikuwa na marks 1,000!

Kwani anaomba u director wa Forex?? Exchange rate haziko fixed hakuna kazi hapo, interview za kumpa mtu fulani kazi siyo kila mtu!

Everyday is Saturday................................:cool:
Wewe umekariri hilo swali linajibika vizuri tu. Unamwambia kabisa mpaka nakuja hapa interview ilikuwa kiasi fulani unampa na reference huwezi mpangia interviewer maswali. Sasa we na elimu yake yote mtu mpaka anaenda kuomba kazi hajui hata exchange rate 2. Nani anaonekan mjinga hapo?
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.

Hivi huko marketing kuna digirii ngapi kiasi hata ku qualify mtu kudaiwa kuwa nazo kibao?

Au hizi ni akili zile zile za nyani wale wale tokea sasa kwenye pori jipya la kule buligi?
 
uaminifu ni tatizo sana kuna kijana nilimuajiri akawa kaniibia kama mara kumi hivi hizi elfu 70 au siku nyingine elfu 40 nikamuonya mara kama 15 hivi siku tofauti hakusikia nikawa nahofia atanipiga pakubwa nikafukuza na watu nnao waajiri kwenye business zangu huwa nawalipia hadi rent ya kuanzia maisha na kitanda na godoro nawapa ila vijana wa kibongo ni useless kwenye uaminifu saizi nimetafuta wenye elimu ya chini kidogo na maisha yaliwapiga naona tunaenda vizuri
Siku hizi vijana tunataka mafanikio sio nafanya kazi kwako haunipi mshahara kwa wakati kumbuka na Mimi nina ndoto zangu nataka kuzifikia kwanini nisikuibie ili teheshimiane
 
yaani sisi tunazijua rate za hawa wafanyabiashara mf.nmb,crdb nao wana bei za ushindani kulingana na vigezo vyao..b.o.t nao wana rate yao sasa wewe uliwauliza kuspacify...kama hakuna aliyekujibu avarage ya 2300 basi walifail lakini kama yupo alipata na alikuwa sahihi
 
Wewe umekariri hilo swali linajibika vizuri tu. Unamwambia kabisa mpaka nakuja hapa interview ilikuwa kiasi fulani unampa na reference huwezi mpangia interviewer maswali. Sasa we na elimu yake yote mtu mpaka anaenda kuomba kazi hajui hata exchange rate 2. Nani anaonekan mjinga hapo?
mkuu uko sahihi waomba kazi wengi interview wako zero wanadhani interview ni class room examination

Hakuna anayehitaji ana kuwafanyia classroom examination sababu vyeti tayari wanavyo na walikosoma walisha wa satisfy academically kuwa wako ok kwa hiyo kuhoji sana academic hakuhitaji marks ziwe nyingi kwenye maswali ya intervuew ya Academic kunahitaji practical questions zaidi sio academic ambazo tayari walisha submit kwako HR
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Jana ulikuja uzi wa picha kwenye noti leo exchange rate 😆😆wasomi mnatabu
 
Back
Top Bottom