Wengi wa wale wanaojiita wasomi huwa hawana muda wa kupitia interview technique, Export marketing Director, exchange ni lazima uitarajie, uta export nini kama hujui exchange rates? Na siyo tu exchange rates walipaswa kujua na currencies mbalimbali zile ambazo ni common kwenye export.Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.
Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.
Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.
Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.
Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.
Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Mimi ukishaniita kwenye interview lazima kwanza nikutafute niione website yako ni aangalie vitu muhimu kama Our People, Vision, Mission nk. From there narudi kwenye comon interview questions napita nazo kama mia hivi, Naangalia watu kama Indeed huwa wanahitaji nini zaidi, naangalia tena watu LinkedIn .