Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Huyu jamaa ni full majungu na ni fisadi kiaina.
Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.
Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).
Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?
Naomba CV yake.
Kada wa CCM. Mtumishi wa Benki Kuu. Amevuruga kampuni waliyoanzisha watu wanne kiasi kwamba sasa ina hali mbaya. Wahindi wameipiga bao. Kupewa Wizara ni njia ya kumsaidia kurudisha pesa yake aliyofilisi kampuni aliyobuni na wenzake. Wala siyo muadilifu kama tulivyopotoshwa na JK. Ana lake jambo.
Pia ni swahiba wa Pombe (J. Magufuli).
Haiwezekani kuingia tu bungeni na kuwa Naibu Waziri. Kwani yeye nani?
Naomba CV yake.