Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Short and Clear: siku hizi mimi ni dreva bajaj. Ila sina bajaj(deiwaka). Ombi: mwenye chombo halafu hana dreva naomba anipe hyo chance. Nipo Dar mbezi ya Kimara.
Sifa zangu: nina uzoefu wa kama mwaka mzima sasa,nina leseni ya udreva A,B,D & E. So hata kwa gari niko vizuri pia. Aliye tayari tuwasiliane kwa ajili ya kupeana hzo riziki. Ni Ombi tu! Thanks!
Sifa zangu: nina uzoefu wa kama mwaka mzima sasa,nina leseni ya udreva A,B,D & E. So hata kwa gari niko vizuri pia. Aliye tayari tuwasiliane kwa ajili ya kupeana hzo riziki. Ni Ombi tu! Thanks!