Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
- Thread starter
- #61
VibeNdio kuna jambo ambalo ni,
Kuleta nuru kwenye giza
Kuleta amani kwenye mafarakano
Kuleta Upendo kwenye chuki
Kuleta furaha penye huzuni
Kuleta faraja kwenye kukata tamaa
Kuleta umoja kwenye utengamano
Kuleta heshima kwenye dharau,
Kumulika wezi na walanguzi