Mwenge wabaini ufisadi wa TZS 65B kwenye miradi 49 ya halmashauri 38 Je, nini kitaendelea?

Mwanahabari wa Taifa

JF-Expert Member
May 27, 2020
1,450
799

Mwenge wanusa harufu ya rushwa na ufisadi kwenye miradi 49 kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya 1.2trilioni iliyozinduliwa | TZS 65b zahofiwa kutafunwa na mchwa,Je ni kweli Mwenge haufai? mnaosema Mwenge hauna faida hamfai kuchaguliwa hata kwenye jitongoji tu,​


" Chato tunasema Asante "​


Mtakumbuka Mwenge wetu wa Uhuru uliwashwa rasmi tarehe 17|05|2021 Makunduchi Zanzibar na leo tarehe 14|10|2021 Mwenge wa Uhuru Umefikia kilele chake Mkoani Geita ikiwa ni baada ya kumalizika kwa siku 150 za matembezi yake bara na Visiwani katika Wilaya za kiutawala 150,mikoa 31 sawa na jumla ya kilometa 21,480 hakika ni jambo la kupongezwa na hii ndio tofauti ya CCM na vyama vingine vinavyoupinga,

Mgeni rasmi alikuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ( Chief Hagaya ) aliyeambana na DP Dk Philip Mpango,Rais wa Zanzibar na Mkt wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Mwingi,Waziri Mkuu wa JMT Mhe Khasim Majaliwa Majaliwa,Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma,Mawaziri,wabunge,wakuu wa wilaya na mikoa pamoja na viongozi wengine mbalimbali wa vyama na Serikali,Kilele hicho asubuhi kilitanguliwa na Misa Takatifu ya kuwaombea Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa hili ambae leo ndio siku yake kitaifa,Hayati Julius Kambarage Nyerere alifariki 14|10|1999 lakini pia alikumbukwa na kuombewa Rais wa awamu ya Tano Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli na baadae shughuli iliendelea katika Uwanja wa Magufuli Chato.

Katika hatua nyingine Mwenge wa Uhuru kabla ya kuhitimisha kilele chake umezindua Jumla ya miradi mikubwa 52 mkoani Geita,Kiongozi wa mbio hizi za Mwenge wa Uhuru Kitaifa alikuwa mwanamama Lt Josephine Mwambashi akisaidiwa CPL.Hafidhi Shaban, CPL. Mohamed Mbegu, CPL. Rehema Haji,Pte. Dismas Mvula na Lt Jofrey Juma Vijana hawa wanastahili pongezi kubwa na kwahakika tumeuona Uzalendo wao kwa Taifa lao walikuwa wakali kama nyuki Pindi wanapokuta miradi ya maendeleo ya Serikali haiko sawa hakika wanastahili,

Katika hali isiyoyakawaida Kiongozi wa mbio za Mwenge Lt Josephine Mwambashi alitoa ripoti ya mwenye iliyoonesha kuna harufu ya Rushwa na Ufisadi kwenye Jumla ya miradi 49 yenye thamani ya Tshs 65.34BL kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya Tshs 1.2trilioni iliyozinduliwa nchi nzima katika Wilaya 38 ambazo Lt Mwambashi ameomba iundwe tume huru kwaajili ya Uchunguzi zaidi huku akimkabidhi Rais ripoti ya awali ya Takukuru huku Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akiahidi kulifanyia kazi huku akishangaa wakati haya yote haya yanatokea RCs,RASs,DCs,DASs,DEDs,RASOs, DSOs wanakuwa wapi hadi Mwenge ufike na kuona madudu hayo?

Hitimisho hili limetanguliwa na siku nane ( 8 ) za kongamano la Vijana na hapa kipekee kabisa naomba niwapongeze sana Mhe Jenistha Muhagama Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri mkuu Pamoja na Mhe Patrobas Katambi|Ummy Nderiananga manaibu wake Pamoja na Waziri wa michezo wa Zanzibar kwa kulifanya kongamano la vijana na shughuli nzima ya maandalizi ya mwenge kuwa yenye tija kwa Geita na Taifa kwa Ujumla wake,Miongoni mwaviongozi Mawaziri wakujivunia kama Taifa ni hawa watu watatu may The almighty God bless them wanajituma sana watu wa Geita watakubaliana na Mimi 100%

Kama Taifa tuendelee kuwaombea pumziko la milele na kufuata nyayo zao viongozi hawa Hayati Dk John Pombe Magufuli,Hayati Dk Benjamin Mkapa na Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere-Amina


IMG-20211013-WA0009.jpg
 

Mwenge wanusa harufu ya rushwa na ufisadi kwenye miradi 49 kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya 1.2trilioni iliyozinduliwa | TZS 65b zahofiwa kutafunwa na mchwa,Je ni kweli Mwenge haufai? mnaosema Mwenge hauna faida hamfai kuchaguliwa hata kwenye jitongoji tu,​


" Chato tunasema Asante "​


Mtakumbuka Mwenge wetu wa Uhuru uliwashwa rasmi tarehe 17|05|2021 Makunduchi Zanzibar na leo tarehe 14|10|2021 Mwenge wa Uhuru Umefikia kilele chake Mkoani Geita ikiwa ni baada ya kumalizika kwa siku 150 za matembezi yake bara na Visiwani katika Wilaya za kiutawala 150,mikoa 31 sawa na jumla ya kilometa 21,480 hakika ni jambo la kupongezwa na hii ndio tofauti ya CCM na vyama vingine vinavyoupinga,

Mgeni rasmi alikuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ( Chief Hagaya ) aliyeambana na DP Dk Philip Mpango,Rais wa Zanzibar na Mkt wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Mwingi,Waziri Mkuu wa JMT Mhe Khasim Majaliwa Majaliwa,Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma,Mawaziri,wabunge,wakuu wa wilaya na mikoa pamoja na viongozi wengine mbalimbali wa vyama na Serikali,Kilele hicho asubuhi kilitanguliwa na Misa Takatifu ya kuwaombea Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa hili ambae leo ndio siku yake kitaifa,Hayati Julius Kambarage Nyerere alifariki 14|10|1999 lakini pia alikumbukwa na kuombewa Rais wa awamu ya Tano Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli na baadae shughuli iliendelea katika Uwanja wa Magufuli Chato.

Katika hatua nyingine Mwenge wa Uhuru kabla ya kuhitimisha kilele chake umezindua Jumla ya miradi mikubwa 52 mkoani Geita,Kiongozi wa mbio hizi za Mwenge wa Uhuru Kitaifa alikuwa mwanamama Lt Josephine Mwambashi akisaidiwa CPL.Hafidhi Shaban, CPL. Mohamed Mbegu, CPL. Rehema Haji,Pte. Dismas Mvula na Lt Jofrey Juma Vijana hawa wanastahili pongezi kubwa na kwahakika tumeuona Uzalendo wao kwa Taifa lao walikuwa wakali kama nyuki Pindi wanapokuta miradi ya maendeleo ya Serikali haiko sawa hakika wanastahili,

Katika hali isiyoyakawaida Kiongozi wa mbio za Mwenge Lt Josephine Mwambashi alitoa ripoti ya mwenye iliyoonesha kuna harufu ya Rushwa na Ufisadi kwenye Jumla ya miradi 49 yenye thamani ya Tshs 65.34BL kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya Tshs 1.2trilioni iliyozinduliwa nchi nzima katika Wilaya 38 ambazo Lt Mwambashi ameomba iundwe tume huru kwaajili ya Uchunguzi zaidi huku akimkabidhi Rais ripoti ya awali ya Takukuru huku Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akiahidi kulifanyia kazi huku akishangaa wakati haya yote haya yanatokea RCs,RASs,DCs,DASs,DEDs,RASOs, DSOs wanakuwa wapi hadi Mwenge ufike na kuona madudu hayo?

Hitimisho hili limetanguliwa na siku nane ( 8 ) za kongamano la Vijana na hapa kipekee kabisa naomba niwapongeze sana Mhe Jenistha Muhagama Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri mkuu Pamoja na Mhe Patrobas Katambi|Ummy Nderiananga manaibu wake Pamoja na Waziri wa michezo wa Zanzibar kwa kulifanya kongamano la vijana na shughuli nzima ya maandalizi ya mwenge kuwa yenye tija kwa Geita na Taifa kwa Ujumla wake,Miongoni mwaviongozi Mawaziri wakujivunia kama Taifa ni hawa watu watatu may The almighty God bless them wanajituma sana watu wa Geita watakubaliana na Mimi 100%

Kama Taifa tuendelee kuwaombea pumziko la milele na kufuata nyayo zao viongozi hawa Hayati Dk John Pombe Magufuli,Hayati Dk Benjamin Mkapa na Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere-Amina

IMG-20211013-WA0009.jpg
Hakuna kama Rais Samia,

Leo tunapata mpaka ripoti ya wizi aise,

Huko nyuma hatukuambiwa kunamtu kaiba kabisa,

Tunampongeza sana Rais wetu,

Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hassan
 
Hakuna kama Rais Samia,

Leo tunapata mpaka ripoti ya wizi aise,

Huko nyuma hatukuambiwa kunamtu kaiba kabisa,

Tunampongeza sana Rais wetu,

Mungu mbariki Rais wetu Samia Suluhu Hassan
Machadomo yalisema mwenge hauna faida yataufuta,
Bila mwenge tungejuaje wizi wa haya mabilioni,
Yasichaguliwe sera zao ni tatanishi sana
 

Mwenge wanusa harufu ya rushwa na ufisadi kwenye miradi 49 kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya 1.2trilioni iliyozinduliwa | TZS 65b zahofiwa kutafunwa na mchwa,Je ni kweli Mwenge haufai? mnaosema Mwenge hauna faida hamfai kuchaguliwa hata kwenye jitongoji tu,​


" Chato tunasema Asante "​


Mtakumbuka Mwenge wetu wa Uhuru uliwashwa rasmi tarehe 17|05|2021 Makunduchi Zanzibar na leo tarehe 14|10|2021 Mwenge wa Uhuru Umefikia kilele chake Mkoani Geita ikiwa ni baada ya kumalizika kwa siku 150 za matembezi yake bara na Visiwani katika Wilaya za kiutawala 150,mikoa 31 sawa na jumla ya kilometa 21,480 hakika ni jambo la kupongezwa na hii ndio tofauti ya CCM na vyama vingine vinavyoupinga,

Mgeni rasmi alikuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ( Chief Hagaya ) aliyeambana na DP Dk Philip Mpango,Rais wa Zanzibar na Mkt wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Mwingi,Waziri Mkuu wa JMT Mhe Khasim Majaliwa Majaliwa,Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma,Mawaziri,wabunge,wakuu wa wilaya na mikoa pamoja na viongozi wengine mbalimbali wa vyama na Serikali,Kilele hicho asubuhi kilitanguliwa na Misa Takatifu ya kuwaombea Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa hili ambae leo ndio siku yake kitaifa,Hayati Julius Kambarage Nyerere alifariki 14|10|1999 lakini pia alikumbukwa na kuombewa Rais wa awamu ya Tano Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli na baadae shughuli iliendelea katika Uwanja wa Magufuli Chato.

Katika hatua nyingine Mwenge wa Uhuru kabla ya kuhitimisha kilele chake umezindua Jumla ya miradi mikubwa 52 mkoani Geita,Kiongozi wa mbio hizi za Mwenge wa Uhuru Kitaifa alikuwa mwanamama Lt Josephine Mwambashi akisaidiwa CPL.Hafidhi Shaban, CPL. Mohamed Mbegu, CPL. Rehema Haji,Pte. Dismas Mvula na Lt Jofrey Juma Vijana hawa wanastahili pongezi kubwa na kwahakika tumeuona Uzalendo wao kwa Taifa lao walikuwa wakali kama nyuki Pindi wanapokuta miradi ya maendeleo ya Serikali haiko sawa hakika wanastahili,

Katika hali isiyoyakawaida Kiongozi wa mbio za Mwenge Lt Josephine Mwambashi alitoa ripoti ya mwenye iliyoonesha kuna harufu ya Rushwa na Ufisadi kwenye Jumla ya miradi 49 yenye thamani ya Tshs 65.34BL kati ya miradi 1,097 yenye thamani ya Tshs 1.2trilioni iliyozinduliwa nchi nzima katika Wilaya 38 ambazo Lt Mwambashi ameomba iundwe tume huru kwaajili ya Uchunguzi zaidi huku akimkabidhi Rais ripoti ya awali ya Takukuru huku Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akiahidi kulifanyia kazi huku akishangaa wakati haya yote haya yanatokea RCs,RASs,DCs,DASs,DEDs,RASOs, DSOs wanakuwa wapi hadi Mwenge ufike na kuona madudu hayo?

Hitimisho hili limetanguliwa na siku nane ( 8 ) za kongamano la Vijana na hapa kipekee kabisa naomba niwapongeze sana Mhe Jenistha Muhagama Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri mkuu Pamoja na Mhe Patrobas Katambi|Ummy Nderiananga manaibu wake Pamoja na Waziri wa michezo wa Zanzibar kwa kulifanya kongamano la vijana na shughuli nzima ya maandalizi ya mwenge kuwa yenye tija kwa Geita na Taifa kwa Ujumla wake,Miongoni mwaviongozi Mawaziri wakujivunia kama Taifa ni hawa watu watatu may The almighty God bless them wanajituma sana watu wa Geita watakubaliana na Mimi 100%

Kama Taifa tuendelee kuwaombea pumziko la milele na kufuata nyayo zao viongozi hawa Hayati Dk John Pombe Magufuli,Hayati Dk Benjamin Mkapa na Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere-Amina

IMG-20211013-WA0009.jpg
Hawa wezi washughulikiwe kikamilifu watatafuna na 1.3T wakiachwa
 
Mwenge unahusiana nini na ukaguzi wa kitaalaamu. Kwani mwenge ni kifaa cha utafiti au basi m'meamua kutukausha tunaoupigia chapuo ukapumzishwe huko makumbusho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom